Tatizo sio kumaliza chuo akiwa mdogo, anaweza kufika mpaka 30 hana ajira, mitaji labda kama kwao wapo vizuri anaweza pata kufanya biashara kuficha aibu, akibahatika ataolewa.
Sio lazima kusoma hadi darasa la saba wapo wengi walivushwa from standard 6 to form 1 ni kawaidaMaana yake alimaliza kidato cha 6 na kuanza mwaka wa kwanza akiwa na miaka 16.
Alimaliza kidato cha nne na miaka 14.
Alimaliza la saba na miaka 10.
Alianza la kwanza na miaka 3.
Inawezekana kabisa.
Hili gazeti huenda limepokea kibunda kirefu ndio maana limeingia ndani kwenye taarifaHili ni Tangazo la chuo.
Magazeti karibia yote, yamemzungumzia Mhusika kwa aya moja pekee.
Kilichofuata hapo ni dira na mpango mkakati wa Chuo husika kwa kirefu zaidi. Kwa sababu story ya binti inavutia, wakaipachika.
Namtafuta.Nitakujulisha.Sasa ni kosa la nani hao watoto kusoma katika mazingira magumu
Hata mm nimejiuliza hivyoπππππMaana yake alimaliza kidato cha 6 na kuanza mwaka wa kwanza akiwa na miaka 16.
Alimaliza kidato cha nne na miaka 14.
Alimaliza la saba na miaka 10.
Alianza la kwanza na miaka 3.
Inawezekana kabisa.
HamasCongratulations
AlivushwaMaana yake alimaliza kidato cha 6 na kuanza mwaka wa kwanza akiwa na miaka 16.
Alimaliza kidato cha nne na miaka 14.
Alimaliza la saba na miaka 10.
Alianza la kwanza na miaka 3.
Inawezekana kabisa.
Herbert kairuki ni chuo kizuriVyuo vingine bhana
Sio lazima kusoma hadi darasa la saba wapo wengi walivushwa from standard 6 to form 1 ni kawaida
Hamas
Wanaji promo tu ,
13-4 = 9 sio 1121-6=15-2=13-4=11-7=4
Inawezekana kabisa.
Huyu akasome Kijerumani hapo Goethe then aombe kazi huku ataupiga mwingi. Au kama akiona kijerumani tabu apply Green card USA hawezi kukosa. Asichelewa akijiloga aaanze maisha ya kitaaluma huko bongo atafeli, inabidi afanya haya akiwa bado wa moto.Congratulations
Inamaana alianza Darasa la kwanza akiwa na miaka 3Congratulations
Hesabu hii umeipigaje..21-6=15-2=13-4=11-7=4
Inawezekana kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii nchi bhanaYou'll surely be doubled and satisfied presently!Pokeeeeeaaaa and say..."I receiiiiveeee"!
Enenda katika kila jambo ukiwa umejijaza tabasamu pana mpendwa.Na hakika maisha yatakuwa lainiii kama maini.ππππ[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii nchi bhana