BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kuna watu wameumia sana huku wanaiponda kairuki, hivi angelikua ni mchagga au kabila lolote hapa nchini mngekuja na hizo kasoro mara chuo chenyewe kairuki, wizi mtupu!! Acheni hizo...mpongezeni binti wa watu