Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

kweli mpendwa, wamekuwa ni watu wa kukurupuka tu na kumwaga damu isiyo na hatia badala ya kuhoji kwanza.
mkuu naona sasa umeanza kunielewa...binti hakushika jiwe, rungu, fimbo wa tofali kumuua marehemu....kwa hiyo hana kosa lolote na ataendelea na maisha yake ya kawaida uraiani bila bugudha yoyote. nadhani sasa tupo pamoja.
uamuzi lazima uhrshimiwe ila ni haki yetu walugaluga kutoa maoni. Nasema huyo binti kashiriki kuua ingawa hajaua. Kuwekwa lupango kutategemea kosa limewekwa vipi. Kama ni kuua atatoka Kama zombe ila Kama ni kushiriki KWA vile aliita mwizi lazima afungwe
 
Kwa wale wanaojaribu ku divert hii issue na kumfanya huyo dada aonekane hana makosa mna madhambi mbele za Mungu na mnalijua hilo!

Marehemu alikua ni agent wa warembo/ma miss na amefanya kazi na wanafunzi wengi wa SAUT wa kike na wa kiume na wanamfahamu sana, japo sio wote. Na huyo mwanamke ni girlfriend wake wa muda sana kilichotokea anakijua vizuri sana tu!!

*Hivi unaanzia wapi kumuitia mwizi boyfriend wako kisa tu amekuta text za michepuko kwa simu!?

Mabinti wa SAUT wabadilike maana Matukio ya vijana (wa kiume) kupoteza maisha hapo Chuoni kwa sababu za "kimapenzi" ni mengi, binafsi kaka yangu alinusurika kufa baada ya kupigwa risasi na "pedeshee" aliekua anachepuka na wifi yetu!!
.
Dah, So sad, lkn malipo ni hapa hapa duniani, huyo mdada hawezi ishi kwa Amani
 
Vifo vingine bwana!, acha waendelee kufa tu. Maarifa yakikosekana tarajia kufa tu!, wanaume tunahitaji kuwa na roho za kijasiri sio kukurupuka tu. Eeh Mungu, utakuta huko kwao mambo ya maisha sio mazuri sana. Haya mambo mengine ni aibu kwa ndg na wazazi pia! Mungu turehemu maana hatujafa hatujaumbika!. R.I.P kijana, simu imekuponza!
 
Japokua ni unyama uyo binti alichofanya lakini ni funzo kwa wengine.!
Unaanzaje kubeba simu ya mwenzako et kisa umekuta sms???
Ukishachukua simu itakusaidia nini haswaaaaa.....hapo ukute hakuna hata senti yako iliyotumika kwenye ununuzi wa simu
Kama unajua maana ya funzo, basi utakubali kua haukusema sawa. Funzo, linakusudiwa kumbadirisha mtu toka pembeni na kurudi kwenye mstari ulionyooka. Funzo lazima limpe mtu nafasi ya kujifunza au kubadirika.

Kwaiyo kama lilikua ni funzo ( kwa maana ya kurekebisha tabia mbaya kwenye jamii ) ilibidi lianze kwa kutokuawa kwa marehemu. Funzo haliangamizi bari linajenga.

Alfu hauwezi fananisha ukubwa na uzito wa kosa la kuchukua simu bira ya ridhaa ya mmiliki na kosa la kufanya uchochezi wa kusababisha kifo cha mtu ( marehemu ). Hayo makosa hayana uwiano hata kama ukipima kwa mtizamo au mzani gani. Kwaiy hauwezi halalisha kosa la uchochezi wa kupelekea kifo cha mtu, eti kwa kutumia dhana ya funzo, haiwezekani hata kidogo. Lazima kuwe na uwiano kati ya kosa na adhabu. Hauwezi fananisha au linganisha thamani ya simu VS thamani ya uhai wa mwanadamu.

Uyo dada ni mfano mbaya kabisa wa binadamu
 
ufukunyuku mwingine bana, sasa simu si yako unapekuapekua kutafuta nini? tena bila hata kujistukia eti unaibeba, ni yako?? BTW pole mhusika!!
Yangekupata wewe kweli ungelithubutu kusema hivyo???,haya bhana.
 
Ukioa mwanafunzi wa chuo,umeoa kahaba,labda vyuo vya ughaibuni
Sio kwamba wanafunzi wote wa chuo ni makahaba. Ukisema ivyo unakua umekosea. Kuna watu wanajijeshimu.

Au labda ulishawahi kufanya uchunguzi wa wanafunzi wote wa vyuo vikuu Tanzania na ukathibitisha ukweli wa huo mtazamo wako
 
Many Stories Produced But At The End The Guy Has Passed Away.
Kama Huyu Binti Alimsingizia Na Walikuwa Wapenzi, Basi Atalipwa Kwa Namna Yake.
 
Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.

Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.

View attachment 325868
Hawa wadudu Ni Wabinafsi Sana!
 
ufukunyuku mwingine bana, sasa simu si yako unapekuapekua kutafuta nini? tena bila hata kujistukia eti unaibeba, ni yako?? BTW pole mhusika!!

samahani mkuu,hivi hyo BTW kirefu chake ni nini?
 
Yani wanawake bhana mm kuna siku nilikuwa hom na kaka angu ikatokea hivyo demu kampigia kelele ya mwizi mshkaji! Mimi nikamwambia kaka usikurupuke kumpiga huyo jamaa unaweza ukapata kesi!

Tukaona ngoja tukamuulize dada yake kwanza na tufatilie tupate uhakika!! Kumbe jamaa alimnunulia simu demu alafu demu kicheche ana mabwana wengine!

Jamaa ikabidi achukue simu yake demu ndio akmpigia kelele ya mwizi bhanaa!!

Kiukweli Mimi mwizi akipiagiwa kelele na mwanamke wala sikurupuki kumpiga watu watakuja kuuwa mtu asie na hatia buree!!

Ila mimi wanafunzi wa chuo? Hapana kwa kweli yani sina ata mzuka nao!!

Hao nawaitaga weka mbali na watoto ni hatari!!
Tuweni makini wanaume wengi tunajifanya viboro disa! Ukiona tuu uanatamani?! Ohooo hayeni!!

R.I.P
 
mkuu naona sasa umeanza kunielewa...binti hakushika jiwe, rungu, fimbo wa tofali kumuua marehemu....kwa hiyo hana kosa lolote na ataendelea na maisha yake ya kawaida uraiani bila bugudha yoyote. nadhani sasa tupo pamoja.

Ataishi uraiani kwa amani mmmmhh sijui lakini dhamira itamsuta hadi kaburini kama anajua kabisa hakuwa mwizi kwa maslahi binafsi akafanya hivyo inauma sana pole kwa familia
 
Sio kwamba wanafunzi wote wa chuo ni makahaba. Ukisema ivyo unakua umekosea. Kuna watu wanajijeshimu.

Au labda ulishawahi kufanya uchunguzi wa wanafunzi wote wa vyuo vikuu Tanzania na ukathibitisha ukweli wa huo mtazamo wako
Rejea bandiko namba 57 mkuu,hapo
imefanyika hesabu ya kukaribisha kama unajua hesabu vizuri au kama hujazisahau.
kimahesabu mfano gari ikiwa na cc 1998 au 1999 huwa inaitwa cc 2000 au 2.0
 
Rejea bandiko namba 57 mkuu,hapo
imefanyika hesabu ya kukaribisha kama unajua hesabu vizuri au kama hujazisahau.
kimahesabu mfano gari ikiwa na cc 1998 au 1999 huwa inaitwa cc 2000 au 2.0[/QUOT
Sijaona tofauti kati ya haya niliyoyasema na uliyoyasema kule. Cjui ulikua unamaana gan kuniambia nirudi nilikotoka?
 
Back
Top Bottom