Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Alinijibu jibu baya kwa kuweka wazi kuwa alikusudia kufanya hivyo ili jamaa auwaweAlisemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alinijibu jibu baya kwa kuweka wazi kuwa alikusudia kufanya hivyo ili jamaa auwaweAlisemaje
Kwa kusudia kabisawanasheria mtusaidie hapa,huyu binti atakuwa ameua kwa kukusudia/bahati mbaya??
DuhKwa kusudia kabisa
Duuh alisemaje mkuu?? Wanawake Nyokaa Sana aiseeNdio mkuu paka demu nilikuwa namjua vizuri baada ya mauaji kufanyika nilikuja kumuona demu alichonijibu ni Mungu anajua
Duuh si bora anagemwambia hamtaki waachane...!?? Aise huyo manzi ningemuwashia motoo balaaa...Alinijibu jibu baya kwa kuweka wazi kuwa alikusudia kufanya hivyo ili jamaa auwawe
Demu yupo paka leo anakula bata tu huku mshikaji akiwa ameshatafunwa na udongoDuuh si bora anagemwambia hamtaki waachane...!?? Aise huyo manzi ningemuwashia motoo balaaa...
Tatizo watu uwa na mihemko sana na machungu ya kuibiwa mali zao kwaiyo anaona hasira zake zote amalizie kwa huyo alipatika bila kuhoji wala nini juzi tu nipo hospitali aliletwa jamaa kapigwa vibaya sana kuuliza kumbe kuna dada aliibiwa pochi na kibaka yule jamaa akamkimbiza yule kibaka akafanikiwa kumnyanganya ile pochi akawa anarudi kumpelekea yule dada pochi yake alikutana na raia walipiga paka dada anafika anasema siyo huyu alikuwa afai kuangaliaJamii ianze mazoea ya kumuuliza mtu kabla ya kupiga nadhani wanaweza gundua mtuhumiwa na muhusika
falaa Sana huyo Dada.. inabdi afanywe kitu mbaya na yeyeDemu yupo paka leo anakula bata tu huku mshikaji akiwa ameshatafunwa na udongo
Huyo mwanamke maisha yake ni ya laana, damu ya jamaa itadaiwa mikononi mwakeKwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.
Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.
View attachment 325868
Dah inasikitisha, inaonekana mlikuwa mnafajhamiana na mshkajiAlinijibu jibu baya kwa kuweka wazi kuwa alikusudia kufanya hivyo ili jamaa auwawe
Dah na hiii shu ya kuwa na girlfriend kipindi cha tukio ni kweli au watu wamechanganya tu. Nimeona baadhi wakisema manzi wake alishamaliza (ambaye anaonekana kwenye picha zilizoenea) hakuwa na sababu ya kuwa pale WENGINE wanasema alikuwa na manzi pale chuo.Japo ni kitambo kidogo, huyo mwamba pichani alikua ni mpigaji kwelikweli kitambo hyo alishirikiana na baadhi ya washkaj wa swea pamoja na boda maarufu Ibu.
ogopa kiumbe mwanamke mwanawaneKwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.
Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.
View attachment 325868
Babaa hujawahi ibiwa, mwizi anakuua wewe kwa ajili ya mali yako.raia naobhuwa wanakurupuka wakishamwizi wa o wanawaza kuuwa tu
Ila wanawake ni makatiliKwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.
Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.
View attachment 325868