Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Jamii ianze mazoea ya kumuuliza mtu kabla ya kupiga nadhani wanaweza gundua mtuhumiwa na muhusika
 
Jamii ianze mazoea ya kumuuliza mtu kabla ya kupiga nadhani wanaweza gundua mtuhumiwa na muhusika
Tatizo watu uwa na mihemko sana na machungu ya kuibiwa mali zao kwaiyo anaona hasira zake zote amalizie kwa huyo alipatika bila kuhoji wala nini juzi tu nipo hospitali aliletwa jamaa kapigwa vibaya sana kuuliza kumbe kuna dada aliibiwa pochi na kibaka yule jamaa akamkimbiza yule kibaka akafanikiwa kumnyanganya ile pochi akawa anarudi kumpelekea yule dada pochi yake alikutana na raia walipiga paka dada anafika anasema siyo huyu alikuwa afai kuangalia
 
Kesi za namna hii huwa zinajirudia au vipi? Mbona kama tukio hili lilitokea UDSM na ni kitambo kidogo. Nakumbuka tuko A level early 2010s tushawahi simuliwa kisa kama hiki.
 
Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.

Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.

View attachment 325868
Huyo mwanamke maisha yake ni ya laana, damu ya jamaa itadaiwa mikononi mwake
 
Japo ni kitambo kidogo, huyo mwamba pichani alikua ni mpigaji kwelikweli kitambo hyo alishirikiana na baadhi ya washkaj wa swea pamoja na boda maarufu Ibu.
 
Japo ni kitambo kidogo, huyo mwamba pichani alikua ni mpigaji kwelikweli kitambo hyo alishirikiana na baadhi ya washkaj wa swea pamoja na boda maarufu Ibu.
Dah na hiii shu ya kuwa na girlfriend kipindi cha tukio ni kweli au watu wamechanganya tu. Nimeona baadhi wakisema manzi wake alishamaliza (ambaye anaonekana kwenye picha zilizoenea) hakuwa na sababu ya kuwa pale WENGINE wanasema alikuwa na manzi pale chuo.
 
Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.

Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.

View attachment 325868
ogopa kiumbe mwanamke mwanawane
 
Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.

Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.

View attachment 325868
Ila wanawake ni makatili
 
Back
Top Bottom