Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Ndugu zake cjui unawatazama kwa jicho gan kwa kumsababbshia kijana wao kifo,wanawake jamanii dah, ukute kijana wa watu hata hakuwa anapendwa,unaempenda huwez thubutu kumuitia mwizi hata cku moja
 
Somo kwa walio kwenye mahusiano ya kichuo chuo kutambua unayemwita mpenzi mkiwa pamoja kuna mwingine kabla ama baada yako kwa hiyo hapo mnasogeza tu muda
 
Nilivyoona huu uzi unefufuliwa nikafikiri kuna updates zozote labda kesi yoyote kwa wauwaji au mwendelezo wa maisha ya yule mwanamke kumbe zinaendelea R.I.P tu
 
Hilo tukio huyo aliyeuawa hakuwa mwanafunzi alikuwa modelist fulani hivi wa kitaa
 
wanasheria mtusaidie hapa,huyu binti atakuwa ameua kwa kukusudia/bahati mbaya??
 
Ni HABARI YA UWONGO MTUPU KWANI MUDA SI MREFU UONGOZI WA CHUO CHA SAUT KUPITIA AFISA HABARI WAKE BWANA KOMU UMEKANUSHA VIKALI KUTOKEA KWA KIFO CHA MWANAFUNZI. UKWELI NI KWAMBA KILICHOTOKEA HUYO MWANAMKE ALIKUWA AMEKWENDA KUOGA BAFUNI NA ALIPORUDI AKAKUTA MTU ASIYEMJUA ANATOKA CHUMBANI KWAKE NA ALIPOINGIA NDANI NDIPO AKAKUTA SIMU YAKE HAIPO HIVYO IKAMLAZIMU APIGE KELELE ZA MWIZI NDIPO WANAZENGO NA WANAFUNZI WALIPOMKIMBIZA HUYO KIJANA KIBAKA, KUMPIGA HADI UMAUTI KUMKUTA. KWA UKWELI WA TAARIFA HII INGIA MTANDAO WA MILLARD AYO HUYO AFISA HABARI WA SAUT AMEFUNGUKA KILA KITU. TUJIFUNZE KUACHA " UZUSHI ".
Mshaanza kuwatetea
 
WEWE NADHANI NI MPUMBAVU WA KWANZA WA KARNE HII KUWAHI KUTOKEA. HIVI KAMA UMESOMA JOURNALISM UNAJUA NINI MAANA YA AUTHORITAVE SOURCE, CREDIBLE SOURCE NA RELIABLE SOURCE KATIKA UTOAJI WA HABARI MAHALA POPOTE? KWA TAARIFA YAKO SISI WOTE TUMEAMINI ALICHOKISEMA AFISA HABARI WENU BWANA KOMU HIVYO KAMA UMEKEREKA KWA YEYE KUSEMA UKWELI KUWA ALIYEKUFA HAKUWA MWANAFUNZI NA KWAMBA HAKUNA KIFO CHA MWANAFUNZI YOYOTE WA SAUT UNAWEZA UKAJINYONGA TU. Katika Journalism au Mass Com WEWE TUNAKUITA " Marginal Source " Ambaye KIMANTIKI HUNA CHOCHOTE Zaidi Ya UMBEA TU TENA ULIOTUKUKA.
Du we mbulula kweli alokufa siyo mwanafunzi...Ni mpenzi wa mwanafunzi
 
unaacha kumnunulia mama yako simu , unamnunulie demu, demu anaitumia simu kuchati na madanga yake, unakuja unaondoka na simu yako demu anakuitia mwizi, unapigwa unakufa
 
Nilivyoona huu uzi unefufuliwa nikafikiri kuna updates zozote labda kesi yoyote kwa wauwaji au mwendelezo wa maisha ya yule mwanamke kumbe zinaendelea R.I.P tu
Wauaji wote walionekana kwenye video akuna atu yeyote iliyochukuliwa
 
Back
Top Bottom