Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Ee Mora waepushe wanangu walio vyuoni na wanagombaniwa na wasichana kibao. Mwemwemwe utumbo unanitoka bibi mimimi.
Inasikitisha sana. Kuna huyu mwanamuziki John Woka aliyefariki majuzi aliimba na Ras Lion wimbo usemao "Hii kitu, hii kitu, hii kitu hii....Hii kitu, hii kitu, hii kitu hii". It sounded funny but very educative to the young generation.
 
serikali iliangalie vizur ili suala la wananchi kumpiga kila raia anaeitiwa kuwa ni mwizi na mtu fulan bila kujua ukwel wa jambo hlo uko vipi, wananch wamekuwa wakichukua jukumu la kuwaua watu hawa!! Nafikiri police imewekwa kwa ajiri ya kuleta usalama wa raia na mali zake!! Hvo wananch wanapaswa kuisaidia police kumkamata uyo alieitwa mwiz then wampeleke kituo chochote cha police ili wafanye kazi yao!!! Kijana amekufa kwa kosa la kusingiziwa
 

Ni HABARI YA UWONGO MTUPU KWANI MUDA SI MREFU UONGOZI WA CHUO CHA SAUT KUPITIA AFISA HABARI WAKE BWANA KOMU UMEKANUSHA VIKALI KUTOKEA KWA KIFO CHA MWANAFUNZI. UKWELI NI KWAMBA KILICHOTOKEA HUYO MWANAMKE ALIKUWA AMEKWENDA KUOGA BAFUNI NA ALIPORUDI AKAKUTA MTU ASIYEMJUA ANATOKA CHUMBANI KWAKE NA ALIPOINGIA NDANI NDIPO AKAKUTA SIMU YAKE HAIPO HIVYO IKAMLAZIMU APIGE KELELE ZA MWIZI NDIPO WANAZENGO NA WANAFUNZI WALIPOMKIMBIZA HUYO KIJANA KIBAKA, KUMPIGA HADI UMAUTI KUMKUTA. KWA UKWELI WA TAARIFA HII INGIA MTANDAO WA MILLARD AYO HUYO AFISA HABARI WA SAUT AMEFUNGUKA KILA KITU. TUJIFUNZE KUACHA " UZUSHI ".
 
huyo jamaa hakua mwanafunzi bt alikua anafanya biashara na huyo bint, wakati amefata pesa yake kukatokea kutoelewana demu akampigia kelele za mwizi. kama ulikua haujui saut wanafunzi wote wana berg za vitambulisho nadhani angekua mwanafunzi wangejua. baada ya hili tukio wananchi wanaozunguka chuo wamekua na hasira na wanafunzi hali ambayo inatishia amani ktk eneo hilo. marehemu ni mkazi wa nyamalango karibu na kanisa la walokole. hii si kesi ya kwanza saut kwan nikiwa mwaka wa kwanza mwaka 2011 kuna mtu aliuawa hostl anayokaa mpenzi wake kisa mambo ya mapenzi , thn mwaka 2014 mwanafunzi aliuawa na wenzie kwa tuhuma za wizi. kitakua na sintofahamu hapa saut hii si kawaida
 
huyo jamaa hakua mwanafunzi bt alikua anafanya biashara na huyo bint, wakati amefata pesa yake kukatokea kutoelewana demu akampigia kelele za mwizi. kama ulikua haujui saut wanafunzi wote wana berg za vitambulisho nadhani angekua mwanafunzi wangejua. baada ya hili tukio wananchi wanaozunguka chuo wamekua na hasira na wanafunzi hali ambayo inatishia amani ktk eneo hilo. marehemu ni mkazi wa nyamalango karibu na kanisa la walokole. hii si kesi ya kwanza saut kwan nikiwa mwaka wa kwanza mwaka 2011 kuna mtu aliuawa hostl anayokaa mpenzi wake kisa mambo ya mapenzi , thn mwaka 2014 mwanafunzi aliuawa na wenzie kwa tuhuma za wizi. kitakua na sintofahamu hapa saut hii si kawaida
Wacha uongo. Au nikutumie picha zao hao wapenzi wawili??
Susan na huyo jamaa yake
 
Ni HABARI YA UWONGO MTUPU KWANI MUDA SI MREFU UONGOZI WA CHUO CHA SAUT KUPITIA AFISA HABARI WAKE BWANA KOMU UMEKANUSHA VIKALI KUTOKEA KWA KIFO CHA MWANAFUNZI. UKWELI NI KWAMBA KILICHOTOKEA HUYO MWANAMKE ALIKUWA AMEKWENDA KUOGA BAFUNI NA ALIPORUDI AKAKUTA MTU ASIYEMJUA ANATOKA CHUMBANI KWAKE NA ALIPOINGIA NDANI NDIPO AKAKUTA SIMU YAKE HAIPO HIVYO IKAMLAZIMU APIGE KELELE ZA MWIZI NDIPO WANAZENGO NA WANAFUNZI WALIPOMKIMBIZA HUYO KIJANA KIBAKA, KUMPIGA HADI UMAUTI KUMKUTA. KWA UKWELI WA TAARIFA HII INGIA MTANDAO WA MILLARD AYO HUYO AFISA HABARI WA SAUT AMEFUNGUKA KILA KITU. TUJIFUNZE KUACHA " UZUSHI ".
unaongea na shuhuda hapa afu unaleta habari za uongozi wa chuo. mimi hata leo nilikuwa nyamalango kwenye kastationary kangu afu wewe unaleta habari za brog apa
 
Ni HABARI YA UWONGO MTUPU KWANI MUDA SI MREFU UONGOZI WA CHUO CHA SAUT KUPITIA AFISA HABARI WAKE BWANA KOMU UMEKANUSHA VIKALI KUTOKEA KWA KIFO CHA MWANAFUNZI. UKWELI NI KWAMBA KILICHOTOKEA HUYO MWANAMKE ALIKUWA AMEKWENDA KUOGA BAFUNI NA ALIPORUDI AKAKUTA MTU ASIYEMJUA ANATOKA CHUMBANI KWAKE NA ALIPOINGIA NDANI NDIPO AKAKUTA SIMU YAKE HAIPO HIVYO IKAMLAZIMU APIGE KELELE ZA MWIZI NDIPO WANAZENGO NA WANAFUNZI WALIPOMKIMBIZA HUYO KIJANA KIBAKA, KUMPIGA HADI UMAUTI KUMKUTA. KWA UKWELI WA TAARIFA HII INGIA MTANDAO WA MILLARD AYO HUYO AFISA HABARI WA SAUT AMEFUNGUKA KILA KITU. TUJIFUNZE KUACHA " UZUSHI ".
Uzushi ni upi mtu si ameuawa uongozi wa chuo unafanya hivyo kumtetea huyo mwanafunzi lakini hao walikuwa wapenzi na kuna picha wapo pamoja sasa hilo la uzushi sijui linatoka wapi?
 
RIP... na huyo aliyempakazia wizi ana kesi kubwa tu kujibu.
 
unaongea na shuhuda hapa afu unaleta habari za uongozi wa chuo. mimi hata leo nilikuwa nyamalango kwenye kastationary kangu afu wewe unaleta habari za brog apa

WEWE NADHANI NI MPUMBAVU WA KWANZA WA KARNE HII KUWAHI KUTOKEA. HIVI KAMA UMESOMA JOURNALISM UNAJUA NINI MAANA YA AUTHORITAVE SOURCE, CREDIBLE SOURCE NA RELIABLE SOURCE KATIKA UTOAJI WA HABARI MAHALA POPOTE? KWA TAARIFA YAKO SISI WOTE TUMEAMINI ALICHOKISEMA AFISA HABARI WENU BWANA KOMU HIVYO KAMA UMEKEREKA KWA YEYE KUSEMA UKWELI KUWA ALIYEKUFA HAKUWA MWANAFUNZI NA KWAMBA HAKUNA KIFO CHA MWANAFUNZI YOYOTE WA SAUT UNAWEZA UKAJINYONGA TU. Katika Journalism au Mass Com WEWE TUNAKUITA " Marginal Source " Ambaye KIMANTIKI HUNA CHOCHOTE Zaidi Ya UMBEA TU TENA ULIOTUKUKA.
 
Uzushi ni upi mtu si ameuawa uongozi wa chuo unafanya hivyo kumtetea huyo mwanafunzi lakini hao walikuwa wapenzi na kuna picha wapo pamoja sasa hilo la uzushi sijui linatoka wapi?

Wewe au Nyie Wote MNAOJIFANYA KUHALALISHA KIFO Mnaitwa " Marginal / Other " Sources AMBAO HAMNA UKWELI WOWOTE MNAOUJUA ZAIDI TU YA UMBEA NA MAJUNGU Isipokuwa AFISA HABARI WENU Ndiyo AUTHORITAVE SOURCE Na SISI TUNAMSIKILIZA Na TUNAMUAMINI KUWA HAKUNA MWANAFUNZI WA SAUT YOYOTE ALIYEFARIKI DUNIA NA BADALA YAKE NI KWAMBA KUNA MWANAUME ( MWIZI ) ALIINGIA KATIKA CHUMBA CHAKE NA KUIBA SIMU NDIPO AKAPIGA MBIU YA KUIBIWA AMBAPO WATU WA HAPO WANANZENGO NA WANAFUNZI WA SAUT WAKAJIUNGA PAMOJA HADI WAKAWAUA.
 
Shida ya kuchanganya mapenzi na masomo,badala ya kutilia mkazo masomo ,unatilia mkazo mapenzi kitu ambacho hakikukkupeleka chuoni.Na huo ndio mshahara wa dhambi.
 
Kwa wale wanaojaribu ku divert hii issue na kumfanya huyo dada aonekane hana makosa mna madhambi mbele za Mungu na mnalijua hilo!

Marehemu alikua ni agent wa warembo/ma miss na amefanya kazi na wanafunzi wengi wa SAUT wa kike na wa kiume na wanamfahamu sana, japo sio wote. Na huyo mwanamke ni girlfriend wake wa muda sana kilichotokea anakijua vizuri sana tu!!

*Hivi unaanzia wapi kumuitia mwizi boyfriend wako kisa tu amekuta text za michepuko kwa simu!?

Mabinti wa SAUT wabadilike maana Matukio ya vijana (wa kiume) kupoteza maisha hapo Chuoni kwa sababu za "kimapenzi" ni mengi, binafsi kaka yangu alinusurika kufa baada ya kupigwa risasi na "pedeshee" aliekua anachepuka na wifi yetu!!
 
Kwa wale wanaojaribu ku divert hii issue na kumfanya huyo dada aonekane hana makosa mna madhambi mbele za Mungu na mnalijua hilo!

Marehemu alikua ni agent wa warembo/ma miss na amefanya kazi na wanafunzi wengi wa SAUT wa kike na wa kiume na wanamfahamu sana, japo sio wote. Na huyo mwanamke ni girlfriend wake wa muda sana kilichotokea anakijua vizuri sana tu!!

*Hivi unaanzia wapi kumuitia mwizi boyfriend wako kisa tu amekuta text za michepuko kwa simu!?

Mabinti wa SAUT wabadilike maana Matukio ya vijana (wa kiume) kupoteza maisha hapo Chuoni kwa sababu za "kimapenzi" ni mengi, binafsi kaka yangu alinusurika kufa baada ya kupigwa risasi na "pedeshee" aliekua anachepuka na wifi yetu!!
Mhhhhhhh nachelea kusema kuwa hicho chuo kimetukuka kwa umalaya!
 
Back
Top Bottom