Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Huyo dame ahame chuo hicho kwani lazima kutakua na vendeta
Huyo dame ahame chuo hicho kwani lazima kutakua na vendeta
Huyo dame ahame chuo hicho kwani lazima kutakua na vendeta
Huyo dame ahame chuo hicho kwani lazima kutakua na vendeta


UKWELI NI KWAMBA HUYO JAMAA ANAIIYWA JUSTUS ALIKUA NI MWANAFUNZI WA SAUT ALIMALIZA MWAKA 2013 KWA HIVO NI ALUMNI WA SAUT. TANGU YUPO CHUO ALIKUA ANAPENDA MASWALA YA MODELLLING NA FASHION ALIPOMALIZA CHUO ALIKUA ANASOMEA UALIMU(DUCE) AKAACHA KWENDA KUFUNDISHA AKAJIKITA KWENYE MODELLING ..HAPO HOSTELI ZA RUGAMBWA ALIKUA ANA MWANAMKE WAKE ANAITWA MAGGE ..SASA SIKU YA TUKIO AKAENDA KUMTEMBELE A HOSTEL. DEMU WAKE , DEM AKAENDA KUOGA JAMAA AKACHUKUA SIMU YA MPENZI WAKE AKAANZA KUIPEKUA AKAFUMANIA MESEJI NA PICHA PICHA CHAFU DEMU ALIVOTOKA KUOGA AKAMUULIZA DEM AKAWA MKALI JAMAA KASEMA NAONDOKA NA SIMU KWA UCHUNGUZI ZAIDI DEEMU AKAPANICK AKAANZA KUMUITIA MWIZI JAMAA HAKUAMINI AKAPATA KIWEWE CHA GHAFLA PAMOJA NA KUMSIHI SANA DEM AACHE KUPIGA KELELE WAYAMALIZE DEMU ALIENDELEA KUPIGA KELELE MPKA RAIA WALIVYOJAA NA KUANZA KUMSHUSHIA KIPIGO .HUYO MAGGE NOW KAKIMBIA CHUONI POLISI WANAMSAKA KAMA KUNA MSAMARIA MWEMA ATAKAYEWEZA KUFANIKISHA KUMPATA ANAOMBWA AWASILIANE NA JESHI LA POLIS ILI AWEZE KUFIKISHWA KORTINI.
[HASHTAG]#JUSTICE[/HASHTAG] FOR JUSTUS
 
Mapenzi ya chuo bila pesa achana nayo wewe Kula papuchu acha wivu maana unaweza kufa kifo sio chako maana ukiwa Na wivu na mbabe ndio na kinganganizi matokeo Yake hayo
 
Japokua ni unyama uyo binti alichofanya lakini ni funzo kwa wengine.!
Unaanzaje kubeba simu ya mwenzako et kisa umekuta sms???
Ukishachukua simu itakusaidia nini haswaaaaa.....hapo ukute hakuna hata senti yako iliyotumika kwenye ununuzi wa simu
Huyajui mapenz yao. Dont be judgemental
 
Japokua ni unyama uyo binti alichofanya lakini ni funzo kwa wengine.!
Unaanzaje kubeba simu ya mwenzako et kisa umekuta sms???
Ukishachukua simu itakusaidia nini haswaaaaa.....hapo ukute hakuna hata senti yako iliyotumika kwenye ununuzi wa simu
Funzo ni kuacha utapeli sio kutochukua simu.kama yeye ndie alimnunulia??

Haingii akilini mtu kunyang'anya simu ambayo hajachangia upatikanaji wake.

Laana iwe juu ya huyo malaya itembee nae popote.
 
Kifo kibaya sana hich km Mungu kamwadhibu hiv daaaa Tuombe mwisho mwema...sir kubwa anaijua huyo ke amemkatil sana jamaa
 
Samahani mi kiukwel SAUT nichuo ambacho sijawi kukielewa nipo mwanza mwaka kikazi lakini sijawai kutamani kifika saut chuo hakina KUDISCO
 
Daaa huyu jamaa kumbe ndio huwa anatudanganya kwa level ya KUTUKUKA hivi! Afadhali leo kabwambwa
Mkuu almanusra unichekeshe hapa msibani!
Ila naomba upitie comments za wadau kwa umakini,marehemu sio mwanafunzi kama popoma alivyosema,mnyonge mnyongeni lakini hapa popoma ana hoja.
Na ukumbuke naye ni mwanafunzi aliyesomea hapo pia.
 
Amefanya kitu kibaya. Na hao wauwaji ni wanafunzi? Kwanini wachukue sheria mkononi? Na hawajawahi kumuona huyo jamaa kama alikuwa ana uhusiano na mwenzao? Mbutaaaaaaa
 
Japokua ni unyama uyo binti alichofanya lakini ni funzo kwa wengine.!
Unaanzaje kubeba simu ya mwenzako et kisa umekuta sms???
Ukishachukua simu itakusaidia nini haswaaaaa.....hapo ukute hakuna hata senti yako iliyotumika kwenye ununuzi wa simu
Xo uyodada yupo sawa Tanzania kubwa sana kuna watu wa kila aina
 
WEWE NADHANI NI MPUMBAVU WA KWANZA WA KARNE HII KUWAHI KUTOKEA. HIVI KAMA UMESOMA JOURNALISM UNAJUA NINI MAANA YA AUTHORITAVE SOURCE, CREDIBLE SOURCE NA RELIABLE SOURCE KATIKA UTOAJI WA HABARI MAHALA POPOTE? KWA TAARIFA YAKO SISI WOTE TUMEAMINI ALICHOKISEMA AFISA HABARI WENU BWANA KOMU HIVYO KAMA UMEKEREKA KWA YEYE KUSEMA UKWELI KUWA ALIYEKUFA HAKUWA MWANAFUNZI NA KWAMBA HAKUNA KIFO CHA MWANAFUNZI YOYOTE WA SAUT UNAWEZA UKAJINYONGA TU. Katika Journalism au Mass Com WEWE TUNAKUITA " Marginal Source " Ambaye KIMANTIKI HUNA CHOCHOTE Zaidi Ya UMBEA TU TENA ULIOTUKUKA.

Kuna haja gani ya kutukana hovyo?! Au huko kwenye kozi yenu ya Mascom na journalisim ndo mnafundishwa kuattack watu kwa mgongo wa nadhalia mnazozisoma?! Haujaonesha weredi wowote katika post yako, unaweka maneno ya kitaaluma ili kutaka kuwaaminisha watu unachokiamini ww.

Mara ngapi taarifa zinatolewa na maafisa habari na zisiwe za kweli?! Anyways! Mie langu ni hili, punguza jazba katika kujibu watu mitandaoni, ebu tuonyeshe thamani ya kweli ya elimu uliyoipata katika kuwa mkarimu na mpole pale unapochangamana na raia wa kawaida, hiyo ndii maana ya sahihi ya elimu na wala si kuonyesha kiburi kwa kutumia maneno ya kigeni ili kuogofya watu na kuwaaminisha unachodhani wewe kuwa ni sahihi
 
huyu marehemu aliwah kunusurika kifo huko huko rugambwa hostel mwaka 2011,alijifanya mwanafunzi na kuzoeana sana na wasichana.aliiba laptop na kukimbilia kwao pale nyamalango,nzengo ilimtetea sana.huwez kuamini kwa maramoja tu katika mia mmoja aseme huyu ni mwizi,ila polisi wana taarifa zake nying za wizi.
wakati ameitiwa mwizi na kuanza kukimbia,alikuwa na kisu na kuwatishia mabinti waliokuwa wanamkimbiza.
Mkuu hii tutathibitishaje
 
Back
Top Bottom