Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Nipo SAUT na mjua marehemu na pia namjua demu wake huyo demu amemaliza chuo mwaka jana. Ww unakurupuka kusikia uzushi.
Tatizo la wabongo mnapenda udaku kuliko ukweli
Unamaanisha jamaa alikuwa ameenda kuiba kwa huyo vipi kuhusu hizo picha wakiwa pamoja nimesoma SAUT shahada ya kwanza na umahiri nafahamu ujinga wa hapo hasa kwa wadada na wavulana suala la kujichukulia sheria mkononi ni jambo baya sana.
 
Hili suala ni baya huyo dada afikishwe kwenye vyombo vya sheria kujibu kesi ya mauaji na awataje wanafunzi wote waliohusika na mauaji hayo hatuwezi endelea poteza ndugu na jamaa kizembe hivyo.
 
Kitu ambacho vijana hawajui....Mschana ni MTU alieopo mawindoni kusema utamdhibiti ni ngumu sababu bado anachagua na ktk huko kuchagua hawezi kuwa na mmoja sasa madogo wakiitwa Baby uko peke yako na wenyewe wanaamini waschana niwakugegeda nakuacha Ukitaka kuoa muache amalize Chuo aingie mtaani kasheshe atakazokutana nazo akimpata MTU hata kama ataendeleza ujinga lkn atakuwa anajua kinachoendelea Tatizo maisha ya chuo watu wanaigiza zaid

Umeongea KIUME Na KISHUJAA Mno Mkuu Na Nakupenda KUNAKOTUKUKA. Napenda Sana WATU WENYE UWEZO WA KUONA MBALI, KUFIKIRI NA KUCHAMBUA MAMBO. Nimekukubali Mno Mkuu Na UKIONA Hadi Mimi NIMEKUSIFIA Jua Kwamba Wewe Ni Wa KIWANGO CHA JUU SANA KIAKILI.
 
Unamaanisha jamaa alikuwa ameenda kuiba kwa huyo vipi kuhusu hizo picha wakiwa pamoja nimesoma SAUT shahada ya kwanza na umahiri nafahamu ujinga wa hapo hasa kwa wadada na wavulana suala la kujichukulia sheria mkononi ni jambo baya sana.
Mkuu tukio limetokea juzi demu hayupo chuo ameshamaliza, sasa yeye alimfata nani?
Na pia huyo demu anaangaika sa hivi kwa kuhusishwa na tukio asilo lijua amesha tuma ujumbe mwingi kukanusha hizo taatifa
 
Mfuate Ukamuulize Huko Mortuary! Bado Nasimamia UKWELI WA TAARIFA KUTOKA KWA AFISA HABARI WA SAUT KUWA ALIYEFARIKI NI MWIZI NA KWA TAARIFA ZA WATU WA KARIBU KAMA HUYO ALIYEKUPA UKWELI WAKE NI KWAMBA HUYO MAREHEMU ALIKUWA NI MWIZI NA ANAJULIKANA. Sasa AMEPUMZIKA PANAPOSTAHILI. Siwezi KUACHA KUMWAMINI AFISA HABARI WA SAUT MWENYE UKWELI WOTE HALAFU NIKAWAAMINI MAPOPOMA NA WAMBEA MLIOTUKUKA.
Lakini na hawa maafisa habari wetu hawa wawe pia wanasema"wanafunzi wetu ni malaya,mukijihusushanao chukueni tahadhari"
 
Sijasomea JOURNALISM Bali Nimesomea MASS COMMUNICATION Sawa? Acha Kukariri. SAUT Ikifundisha Journalism TSJ au DSJ au A3 au ROYAL au DACICO Watafundisha Nini? Muwe Mnajifunza KUCHANGANUA ISSUES Kabla Ya KUKURUPUKA Humu Na Ndiyo Maana Huwa NAWADHARAU Hadi Kuwaiteni MAPOPOMA MLIOTUKUKA Mnakasirika.
Vyuo vyote hivyo vinafundisha mass communication.
 
Hii tabia ya wanaume kujifanya Mungu watu juu ya madem inakera sana. RIP mwanafunzi
 
Mkuu tukio limetokea juzi demu hayupo chuo ameshamaliza, sasa yeye alimfata nani?
Na pia huyo demu anaangaika sa hivi kwa kuhusishwa na tukio asilo lijua amesha tuma ujumbe mwingi kukanusha hizo taatifa
Mkuu twende taratibu huenda nikapata ukweli tukio zima lilikuwaje mpaka jamaa akauawa.
 
Kilichomuuma zaidi ni kwamba hata hiyo simu ni yy ndio aliyemnunulia huyo demu,,,,ila SAUT watoto ni malaya jamani khaaaaaaaah kwa macho yangu na bado naendelea kushuhudia wakijiuza pala [HASHTAG]#rockbotton[/HASHTAG] goldcrest ni ukiwa unawachukua wanakuchunguza kama ww ni mwanafunzi au laaah,kama mtu yupo mwanza atakubaliana na mm na ulevi wao uwe unatembelea hata vits ya kuazima unaweza kwichkwich hata na hostel nzima,ila kwa mm nashukuru kwa umaharage ya mbeya kwa hao mabinti nafanikisha shughuli zangu

Ukisema SAUT Wanafunzi Wa KIKE Ni MALAYA Unawaacha Wapi Wale Wanafunzi Wa KIKE WA UDSM Wanaojipanga Kutwa Pale KIMBOKA? Utawaacha Wapi Wanafunzi Wa KIKE Wa IFM Na CBE Ambao Kutwa Tunawaokota Pale Pande Za Ohio Na CD Posta? Utawaacha Wapi Wanafunzi Wa KIKE Wa USTAWI WA JAMII Ambao 24/7 Tunakumbana Nao AFRIKA SANA? Hivi Kabisa Katika Vyuo Ambavyo VINASIFIKA Kwa Kuwa Na MABINTI MAKAHABA Utakiweka SAUT? You're Not Serious!
 
sijui watu wanayachukuliaje mapenzi nowdays,simu ni kitu gani mpaka kikikusababishie kifo watu wanaonga magari na nyumba juu still wanadanganywa just leave that shit behind and walk away
 
Ukisema SAUT Wanafunzi Wa KIKE Ni MALAYA Unawaacha Wapi Wale Wanafunzi Wa KIKE WA UDSM Wanaojipanga Kutwa Pale KIMBOKA? Utawaacha Wapi Wanafunzi Wa KIKE Wa IFM Na CBE Ambao Kutwa Tunawaokota Pale Pande Za Ohio Na CD Posta? Utawaacha Wapi Wanafunzi Wa KIKE Wa USTAWI WA JAMII Ambao 24/7 Tunakumbana Nao AFRIKA SANA? Hivi Kabisa Katika Vyuo Ambavyo VINASIFIKA Kwa Kuwa Na MABINTI MAKAHABA Utakiweka SAUT? You're Not Serious!
Mkuu mm nazangumzia mwanza sababu nipo huku na nina shuhudia kifupi ni kwamba hamna chuo ambacho dada zetu hawajiuzi ila kwa mwanza saut ndio kina ongoza kubali kataa mimi kila weekend lazima nifanye biashara na wadada wa saut zaidi ya nane na ni tofauti,,,,na umalaya wao hukolea zaidi msimu boom limekata hawa dadazetu wakijua una kahela tu cha kumlisha sato pale charcoal ribs au malaika basi utakula mpaka [HASHTAG]#0716[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom