Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Hiki kitabia kinakuwa kwa kasi kwa hivi vi binti vyetu. Nankumba na hii issue ya hivi ishawahi tokea pale MABIBO HOSTELI. Lakini kwa bahati nzuri jamaa wenzake walikuwa wanamfahamu. Yaani ni bora kama humpendi (hampendani) kila mtu ale time zake sio kusababishiana maumivu ya kizembe. HII NI KWA WADOGO ZANGU MNAO SOMA VYUONI " UKIONA KIBINTI KINAKUSUMBUA ACHANA NACHO PAMBANA NA SHULE" ukirudi kitaa wako wengi tu hawana watu wa kuwaoa. Kwanza ni wapenzi wachache hidumu ambao mahusiano yao ni toka chuo. Wengi wao huishi siku ya graduation na mmoja wao akipata kazi ya maana humsahau mwenzake na kumuona mzigo

WORD, Story of my life aisee😀😀😀
 
Ninacho amini ni kwamba huwezi kwenda kinyume na maagizo ya Mungu na ukabaki salama....
 
Huyu boya kafa kwa ujinga wake. Hivi hii dunia ya leo unamuekea wivu demu ambaye hata hujamuoa, tena mbaya zaidi alizan huyo demu atakua anatia peke ake.
Unahusika na hicho kifo na sio bureee....choko wewe
 
Wewe GENTAMYCINE sijui unataka uprove nini katika hili jukwaa, sikuji hunijui ila unajishushia heshima kwa kiasi flani, uwezo unaotaka kuuaminisha umma wa jukwaa hili hauendani hata kudogo na "responce rate" yako, kiukweli sitaki kuamini kama kweli wewe ni mtu unayesomea masters degree kama ulivyojinadi huko mwanzo!

Umejawa na kiburi sana comrade, jaribu kufikilia once or twice before you start to punish your screen buttons for no good reason!

Matusi, majigambo na kujikweza sio tabia za kiugwana! Jaribu kuwa humble hata pale unapodeal na watu usio wajua kwani surely you will loose nothing but gain respect and love among your fellow earth dwellers.

Huu ni ushauri tu, ambao unaweza ukaujibu kwa matusi, kejeri au kashfa, ila hopefully utauzingatia hata katika extent ndogo tu, tafadhali, onyesha usomi wako katika kujenga hoja na si vioja!

Samahani kama nitakuwa nimekukwaza!

Point Taken.
 
hawa madem wa saut watamaliza watu, nanyie hamjiulizi katoto katoke kote huko kuja kusoma mwanza.
 
nachojua mabweni ya wasichana wavulana hawaruhusiwi kuingia, tena vyuo vingi huwa kuna matron na walinzi tena kuna muda maalumu wa kuingia. sasa inakuwaje mwanaume tena asiyekuwa mwanachuo anaweza ingia bweni la wasichana ndani ya eneo la chuo? hapo kuna udhaifu katika uongozi wa hicho chuo chenyewe.
 
Ni HABARI YA UWONGO MTUPU KWANI MUDA SI MREFU UONGOZI WA CHUO CHA SAUT KUPITIA AFISA HABARI WAKE BWANA KOMU UMEKANUSHA VIKALI KUTOKEA KWA KIFO CHA MWANAFUNZI. UKWELI NI KWAMBA KILICHOTOKEA HUYO MWANAMKE ALIKUWA AMEKWENDA KUOGA BAFUNI NA ALIPORUDI AKAKUTA MTU ASIYEMJUA ANATOKA CHUMBANI KWAKE NA ALIPOINGIA NDANI NDIPO AKAKUTA SIMU YAKE HAIPO HIVYO IKAMLAZIMU APIGE KELELE ZA MWIZI NDIPO WANAZENGO NA WANAFUNZI WALIPOMKIMBIZA HUYO KIJANA KIBAKA, KUMPIGA HADI UMAUTI KUMKUTA. KWA UKWELI WA TAARIFA HII INGIA MTANDAO WA MILLARD AYO HUYO AFISA HABARI WA SAUT AMEFUNGUKA KILA KITU. TUJIFUNZE KUACHA " UZUSHI ".
Nawe uache uzushi wa bifu la watangazaji wa radio e na radio mawingu.
 
nachojua mabweni ya wasichana wavulana hawaruhusiwi kuingia, tena vyuo vingi huwa kuna matron na walinzi tena kuna muda maalumu wa kuingia. sasa inakuwaje mwanaume tena asiyekuwa mwanachuo anaweza ingia bweni la wasichana ndani ya eneo la chuo? hapo kuna udhaifu katika uongozi wa hicho chuo chenyewe.
Ndugu yangu Shida hapa Ni Mazoea Tu ya watz, kuanzia Wanachuo , walinzi na Mpaka Nzengo , Wee unaweza kumtofautisha mwanachuo na Nzengo ? Pia walinzi wamezoea Tu kuwaona wadada wanaingia Hostel wakiwa na Masela wao .
 
Hii tabia itaisha lini Saut,badilikeni,maana kwa miaka 4,niliyosoma saut,nilishuhudia matukio ya aina hii(4), na leo tena????badiliken achen suala la uchukuaji wa sheria mikonon
 
Hivi yule askar aliebaka mwanachuo mtarajiwa arusha kes yake imeishia wap
 
Ndugu yangu Shida hapa Ni Mazoea Tu ya watz, kuanzia Wanachuo , walinzi na Mpaka Nzengo , Wee unaweza kumtofautisha mwanachuo na Nzengo ? Pia walinzi wamezoea Tu kuwaona wadada wanaingia Hostel wakiwa na Masela wao .
hapana tusitetee uzembe, hapa pana tatizo wasichana hawawezi ingiza misela hovyo tu bila udhibiti, hata danguroni kuna utaratibu wa kuingia.
 
Halafu usikute kuna wanachuo wanaochukua fani ya sheria walihusika kumuadhibu jamaa.
Mkuu konda wa bodaboda,mimi mnamo mwaka 1999 nikiwa Dodoma,sehemu inaitwa Nkuhungu,kulikuwa na baa moja maarufu sana kipindi hicho.Kulitokea kelele za mwizi,sasa nilikuwa na rafiki zangu wanne,mmoja wapo ambaye alikuwa ni mwanasheria wa taasisi moja hapo Dodoma,alinyanyuka na kwenda kuomba mafuta toka kwa madereva wa hiace waliokuwa jirani kwa kutoa offer ya hela nyingi(kipindi hicho hiace nyingi zilikuwa zimechoka na zinatumia mtindo wa mchuzi juu,yaani mafuta kutumika toka kwenye kidumu badala ya tank) ili wamchome huyo aliyesemekana kuwa ni mwizi.Kusema ukweli mpaka leo hii tukio hilo bado lipo ndani ya kumbukumbu yangu.Ndio watanzania tulipofika hapo,hatuna huruma,hatufuati weledi na wala HOFU ya MUNGU haipo tena ndani yetu.
 
hapana tusitetee uzembe, hapa pana tatizo wasichana hawawezi ingiza misela hovyo tu bila udhibiti, hata danguroni kuna utaratibu wa kuingia.
Kuna mtu katetea Uzembe hapa? , okay nn kifanyike sasa
 
Mkuu konda wa bodaboda,mimi mnamo mwaka 1999 nikiwa Dodoma,sehemu inaitwa Nkuhungu,kulikuwa na baa moja maarufu sana kipindi hicho.Kulitokea kelele za mwizi,sasa nilikuwa na rafiki zangu wanne,mmoja wapo ambaye alikuwa ni mwanasheria wa taasisi moja hapo Dodoma,alinyanyuka na kwenda kuomba mafuta toka kwa madereva wa hiace waliokuwa jirani kwa kutoa offer ya hela nyingi(kipindi hicho hiace nyingi zilikuwa zimechoka na zinatumia mtindo wa mchuzi juu,yaani mafuta kutumika toka kwenye kidumu badala ya tank) ili wamchome huyo aliyesemekana kuwa ni mwizi.Kusema ukweli mpaka leo hii tukio hilo bado lipo ndani ya kumbukumbu yangu.Ndio watanzania tulipofika hapo,hatuna huruma,hatufuati weledi na wala HOFU ya MUNGU haipo tena ndani yetu.
Mkuu ilikuwaje, alichomwa mtu siku hiyo? Halafu tatizo la wananchi kujichukulia sheria mkononi linatokana na uzembe wa polisi, wewe mkamate mwizi mfikishe polisi, baada ya masaa kadhaa unakuta ameachiwa, sasa kama uliibiwa pikipiki, iPhone au hata laptop yenye taarifa zako muhimu utajisikiaje? Siku nyingine utathubutu kumfikisha mwizi polisi kweli? Unakuta jamii imeshachoka na matukio ya wizi na polisi yenyewe haielewani na raia, sasa unategemea nini kama sio kujichukulia sheria mkononi pale wanaposikia kelele za mwizi hata kama sio mwizi kweli?
Mimi nailaumu serikali tu kupitia jeshi la polisu kwa sababu haijihusishi na usalama wa raia kikamilifu.
 
Kuna mtu katetea Uzembe hapa? , okay nn kifanyike sasa
hapa lazima uongozi wa chuo uwajibike, wizara husika ipitie upya mazingira ya tukio zima na hatua stahiki zichukuliwe, upo uwezekano kuna watoto kuwekwa vimada mabwenini na uchafu wa kila aina na sidhani tatizo hili liko saut tu linaweza kuwa vyuo vyote nchini vina tatizo hili.
 
hapa lazima uongozi wa chuo uwajibike, wizara husika ipitie upya mazingira ya tukio zima na hatua stahiki zichukuliwe, upo uwezekano kuna watoto kuwekwa vimada mabwenini na uchafu wa kila aina na sidhani tatizo hili liko saut tu linaweza kuwa vyuo vyote nchini vina tatizo hili.
Umeona eenhe. sio kwa SAUT Tu ILA vyuo vyote, Chuo kitoe Ushirikiano wa juu kwa Mamlaka husika na Uchunguzi wa tukio na matukio ufanye kazi yake.
 
Mkuu ilikuwaje, alichomwa mtu siku hiyo? Halafu tatizo la wananchi kujichukulia sheria mkononi linatokana na uzembe wa polisi, wewe mkamate mwizi mfikishe polisi, baada ya masaa kadhaa unakuta ameachiwa, sasa kama uliibiwa pikipiki, iPhone au hata laptop yenye taarifa zako muhimu utajisikiaje? Siku nyingine utathubutu kumfikisha mwizi polisi kweli? Unakuta jamii imeshachoka na matukio ya wizi na polisi yenyewe haielewani na raia, sasa unategemea nini kama sio kujichukulia sheria mkononi pale wanaposikia kelele za mwizi hata kama sio mwizi kweli?
Mimi nailaumu serikali tu kupitia jeshi la polisu kwa sababu haijihusishi na usalama wa raia kikamilifu.
mkuu konda wa bodaboda,bahati njema alitokea Mzee Athuman Kabongo (kwa vijana wa zamana watakuwa wanamfahamu huyu)ambaye alikuwa akiishi huko Nkuhungu,ndiye aliyeokoa jahazi yule aliyesemekana kuwa ni mwizi asichomwe moto.
Hili suala kweli Polisi wanahusika kwa kiasi kikubwa,lakini mimi huwa napenda kusema wazi kuwa maovu mengi yanayotokea hapa nchini ni kushindwa kwa taasisi za dini kutimiza majukumu yao ya kiroho.
Kama sheikh,padri ama mchunguaji angetimiza jukumu lake ipasavyo,basi mambo yasingekuwa hivi yalivyo.
 
Back
Top Bottom