gwela2003
JF-Expert Member
- Mar 15, 2015
- 1,210
- 1,089
Jamaa alikuwa ni mtu wa watu...aliandaa miss albinism alikuwa na mtaji flani katika bisiness zake...
Haiingii akilini kama angeiiba simu ya laki 2...maana cm ikishatumika huwa sio zaidi ya laki 2...na huwa anaandaa event za fashion modeling mbali mbali
Halafu leo eti kaiba cm..hii ni kupotesha maada na kumtetea huyo demu..haki itendeke kwa kesi hii na mtuhumiwa ahojiwe na majibu yapatikane
Haiingii akilini kama angeiiba simu ya laki 2...maana cm ikishatumika huwa sio zaidi ya laki 2...na huwa anaandaa event za fashion modeling mbali mbali
Halafu leo eti kaiba cm..hii ni kupotesha maada na kumtetea huyo demu..haki itendeke kwa kesi hii na mtuhumiwa ahojiwe na majibu yapatikane