Siyo pimbi sometimes limeuzwa shamba la familia ili aokoe ukoo na ukute alikuwa anagombania mwanamke na lecture akaambiwa live wewe hapa hutoboi na kafail kweli.Huyo dogo pimbi kabisa
Hasira hasara,Inasikitisha sana.
---
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wa Shule ya Uuguzi na Afya ya umma (SoNPH) Ezekiel Sostenes amelazwa hospitali ya Rufaa ya Kanda ya kati Benjamin Mkapa baada ya kujirusha ghorofani.
Awali kabla ya tukio hilo jana, kulikuwa na ujumbe wa WhatsApp ambao Mwananchi imeuona, uliosambaa mitandaoni ukionyesha majibizano kati ya mwanafunzi huyo akimlalamikia mkufunzi wake kuwa alimfelisha kwa makusudi.
Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 15, 2022 Dk Winnie Msangi kutoka hospitalini hapo amesema walimpokea mwanafunzi huyo jana akiwa kwenye hali mbaya.
Winnie amesema Ezekiel anaendelea na matibabu baada ya kupata majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake.
"Tulimpokea jana na kufanyiwa huduma ya kwanza kwa sababu alikuwa kwenye hali mbaya ya maumivu, mpaka sasa majeraha makubwa tuliyoyabaini ni kwenye uti wa mgongo lakini anaendelea ja matibabu zaidi," amesema Daktari huyo.
Alipoulizwa kuhusu tukio hilo Ofisa habari wa Chuo cha UDOM, Beatrice Mtenga amedai kuwa hana taarifa za tukio hilo na kuomba kupewa muda wa kulifuatilia.
Chanzo: Mwananchi
Ndo tatizo la watu kusoma kwa preshaAshajitia kilema
Ova
Jinga wewe kwahiyo umemuamini huyo dogo? Hivi nyie mkoje? Wanafunzi wakifaulu sana mnawapigia kelele walimu ati wanagawa maksi za bure. Wakisimamia principles madogo wazembe wakafeli, mnakuja mbio kuwalaumu. Kifupi hamjui mtakalo. Aliyekwambia kuwa ukishasajiliwa chuoni hakuna Kufeli ni nani?Ila walimu wa vyuo nao wanaushamba mwingi sana aisee
Hopeless guy. Kwahiyo ukishasajiliwa chuo hakuna kufeli sio?Ni sawa utafute haki yako kipindi cha dc sabaya na raisi magufuli.
mfumo wa vyuo kuna vingi vinaendelea
Vijana someni. Achaneni na vi excuses msivyoweza kuvithibitisha.Siyo pimbi sometimes limeuzwa shamba la familia ili aokoe ukoo na ukute alikuwa anagombania mwanamke na lecture akaambiwa live wewe hapa hutoboi na kafail kweli.
Inatafakarisha.
Aliyekuambia kwamba kufaulu ni lazima ni nani? Wewe uende chuoni, halafu ukalie kubet na kubishania Simba na Yanga halafu ufaulu katika vyuo serious? Sahau.Sijafanikiwa kufika chuo, bado najikongoja kwa kujiendeleza huku nikisaka ela ya tonge.
Kwa msoto huu siku nikifanikiwa kufika huko hao mnaowaita wakufunzi kama ndio tabia zao hizi watajuta kunijua.
Huku kwetu Mtu kuchezea elimu unayoisotea kwa nguvu na jasho anastahili kabisa kucharangwa mapanga ili iwe fundisho kwa wengine
Sisi wazee wake tutamsaidia kuchakata Mbususu kiulaini yeye akiwa hoi kitandani kwa kuwekewa chuma kwenye uti wa mgongo.Hiv aliwaza kuhusu Mbususu? Mgongo ukishapata hitlaf ndio bas tena...
Ofisa habari wa Chuo cha UDOM, Beatrice Mtenga amedai kuwa hana taarifa za tukio hilo
Hakika kufeli mtihani sio kufeli maishaAmebug step, life isnt about university only but how youa arrange ur plan