Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana sahv lonyalonya sanaHuyo Bora afe tu,kama swala dogo kama Hilo,anashindwa kuchakata akili na kulitatua,itakuaje akikutana na stress za kazini,stress za ndoa,stress za pesa,za ndugu,kwa wakati mmoja?huyu si anaweza akaitia Ndege kwenye bahari kwa msongo wa mawazo?
Sasa angekufa,angekuwa ametatua nini?Hawa vijana shida sana?
Stress kidogo kama hizo,zinamtoa roho?
HahaaHiv aliwaza kuhusu Mbususu? Mgongo ukishapata hitlaf ndio bas tena...
Kijana namjua, alisapua halafu akapata carryover, kwaiyo akawa anajitahidi kumuelekeza mwalimu kuwa carryover yake iwe cleared lakini kwa sheria za Udom kwa carryover inatakiwa urudie semester nzima,Kufeli mtihani siyo kufeli maisha hata ukataka kujitoa uhai, ndiyo maana tunapewa second chances (Supps) na ikishindikana una carry over , then ukitoboa maisha yanaendelea. Sijaona sababu ya kutaka kujikatisha uhai hapo, ajitahidi tu afate sheria akate rufaa kama anahisi kafelishwa
Toa neno mkuu
Zaidi ya pimbi kabisa.... Low thinking abilityHuyo dogo pimbi kabisa
Hamna kitu kama hicho....🤔🤔🤔Jamaa itakuwa katongoza she wa mwalimu
Ushamba gani.... ? Sio wote lakini...Ila walimu wa vyuo nao wanaushamba mwingi sana aisee
Umenena vema mkuu..Kwanini asingeondoka na kichwa cha mkufunzi kama ana uhakika?analemaa yeye mtuhumiwa anaendelea kufelisha wengine,tuanze utamaduni wa kujitoa mhanga kwa faida ya wengi
Vinginevyo angesamehe na kuendelea na maisha tu
Haki gani hapo sasa... Dig deep ;;;Ni sawa utafute haki yako kipindi cha dc sabaya na raisi magufuli.
mfumo wa vyuo kuna vingi vinaendelea
Tatizo hili... Kutegemea kitu kimoja..ona sasa anawapa tabu wazazi wake..😬😬😬😬Pole sana vijana tujifunze kujicontrol hasira
Amebugi sana... Kiufupi akili hana.Amebug step, life isnt about university only but how youa arrange ur plan
Well said...Nadhani muda huu amesha tambua kuwa afya ni Bora kuliko hayo matokeo ya kwenye makaratasi. Amevunja spinal cord nani atakuwa anamzolea kinyesi.
Vijana tujifunze kuwa na roho ngumu na tujue kukabiliana na changamoto zozote tunazokutana nazo bila kujiingiza kwenye vitu vitakavyo tuletea matatizo
Muno munoIla walimu wa vyuo nao wanaushamba mwingi sana aisee
Ushamba mwingi huyu dogoHiv aliwaza kuhusu Mbususu? Mgongo ukishapata hitlaf ndio bas tena...