Kufeli kupo hakuna anayekataa,tatizo la wakufunzi kufelisha wanafunzi lipo sana tu,tena kwa sababu za kipuuzi tu hasa wanawake au kuzidiwa pesa/umaarufu, wote tumesoma chuo na tumeyaona kwa macho,we labda ni seminer leader tena mgeni hapo chuoni kwenu ndio maana unatetea ujingaJinga wewe kwahiyo umemuamini huyo dogo? Hivi nyie mkoje? Wanafunzi wakifaulu sana mnawapigia kelele walimu ati wanagawa maksi za bure. Wakisimamia principles madogo wazembe wakafeli, mnakuja mbio kuwalaumu. Kifupi hamjui mtakalo. Aliyekwambia kuwa ukishasajiliwa chuoni hakuna Kufeli ni nani?
Kwanini asingeondoka na kichwa cha mkufunzi kama ana uhakika?analemaa yeye mtuhumiwa anaendelea kufelisha wengine,tuanze utamaduni wa kujitoa mhanga kwa faida ya wengi
Vinginevyo angesamehe na kuendelea na maisha tu
Tatizo pia madenti wa siku hizi vilaza sana halafu vinajifanya vina akili kisa vinamiliki simu za kijanja, sijui vinatoka shule gani za madongo kuinama huko hata spellings havijui ndio poa vinaandika P au Pw, ngedere kbsa. Someni Acheni ufala mnajua verse za miziki kuliko models na concepts za class, mnashinda insta, TikTok, tagged na Badoo wahuni nyie pumbavu zenuKufeli kupo hakuna anayekataa,tatizo la wakufunzi kufelisha wanafunzi lipo sana tu,tena kwa sababu za kipuuzi tu hasa wanawake au kuzidiwa pesa/umaarufu, wote tumesoma chuo na tumeyaona kwa macho,we labda ni seminer leader tena mgeni hapo chuoni kwenu
Hopeless guy. Kwahiyo ukishasajiliwa chuo hakuna kufeli sio?
Kwahiyo mtu akisema kafelishwa timuamini sio? Kwanini asifuate taratibu zilizopo za kukata rufaa ili mtihani wake usahihishwe upya na jopo? Kwanini inajengeka dhana ya kuwadhalilisha walimu wetu bila ushahidi? Vijana wa vyuo ni taabu. Kazi yao kubwa ni kulishana umbeya tu.Kufeli kupo hakuna anayekataa,tatizo la wakufunzi kufelisha wanafunzi lipo sana tu,tena kwa sababu za kipuuzi tu hasa wanawake au kuzidiwa pesa/umaarufu, wote tumesoma chuo na tumeyaona kwa macho,we labda ni seminer leader tena mgeni hapo chuoni kwenu
Umeandika nini sasa, mbona hueleweki.kuna mda naweza kuzalilisha hapa !. kwani matatizo yana fata watu si miti. ili swali ukiingia polisi utajuta kwa nini nimekuuliza
naskia alikua anashare mbususu na mkufunz wakeHiv aliwaza kuhusu Mbususu? Mgongo ukishapata hitlaf ndio bas tena...
Dah..pole yakeInasikitisha sana.
---
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wa Shule ya Uuguzi na Afya ya umma (SoNPH) Ezekiel Sostenes amelazwa hospitali ya Rufaa ya Kanda ya kati Benjamin Mkapa baada ya kujirusha ghorofani.
Awali kabla ya tukio hilo jana, kulikuwa na ujumbe wa WhatsApp ambao Mwananchi imeuona, uliosambaa mitandaoni ukionyesha majibizano kati ya mwanafunzi huyo akimlalamikia mkufunzi wake kuwa alimfelisha kwa makusudi.
Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 15, 2022 Dk Winnie Msangi kutoka hospitalini hapo amesema walimpokea mwanafunzi huyo jana akiwa kwenye hali mbaya.
Winnie amesema Ezekiel anaendelea na matibabu baada ya kupata majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake.
"Tulimpokea jana na kufanyiwa huduma ya kwanza kwa sababu alikuwa kwenye hali mbaya ya maumivu, mpaka sasa majeraha makubwa tuliyoyabaini ni kwenye uti wa mgongo lakini anaendelea ja matibabu zaidi," amesema Daktari huyo.
Alipoulizwa kuhusu tukio hilo Ofisa habari wa Chuo cha UDOM, Beatrice Mtenga amedai kuwa hana taarifa za tukio hilo na kuomba kupewa muda wa kulifuatilia.
Chanzo: Mwananchi
Sawa sawa... Hii itakuw fundisho kwa wanaochukua maamuz ya kijingajingaSisi wazee wake tutamsaidia kuchakata Mbususu kiulaini yeye akiwa hoi kitandani kwa kuwekewa chuma kwenye uti wa mgongo.
Huyo Bora afe tu,kama swala dogo kama Hilo,anashindwa kuchakata akili na kulitatua,itakuaje akikutana na stress za kazini,stress za ndoa,stress za pesa,za ndugu,kwa wakati mmoja?huyu si anaweza akaitia Ndege kwenye bahari kwa msongo wa mawazo?Inasikitisha sana.
---
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) wa Shule ya Uuguzi na Afya ya umma (SoNPH) Ezekiel Sostenes amelazwa hospitali ya Rufaa ya Kanda ya kati Benjamin Mkapa baada ya kujirusha ghorofani.
Awali kabla ya tukio hilo jana, kulikuwa na ujumbe wa WhatsApp ambao Mwananchi imeuona, uliosambaa mitandaoni ukionyesha majibizano kati ya mwanafunzi huyo akimlalamikia mkufunzi wake kuwa alimfelisha kwa makusudi.
Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 15, 2022 Dk Winnie Msangi kutoka hospitalini hapo amesema walimpokea mwanafunzi huyo jana akiwa kwenye hali mbaya.
Winnie amesema Ezekiel anaendelea na matibabu baada ya kupata majeraha sehemu mbalimbali za mwili wake.
"Tulimpokea jana na kufanyiwa huduma ya kwanza kwa sababu alikuwa kwenye hali mbaya ya maumivu, mpaka sasa majeraha makubwa tuliyoyabaini ni kwenye uti wa mgongo lakini anaendelea ja matibabu zaidi," amesema Daktari huyo.
Alipoulizwa kuhusu tukio hilo Ofisa habari wa Chuo cha UDOM, Beatrice Mtenga amedai kuwa hana taarifa za tukio hilo na kuomba kupewa muda wa kulifuatilia.
Chanzo: Mwananchi