Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeandika miaka 21 ni mtoto kisheria hakuna huyo mtu mzima labda kwenu mnakosoma vibibi na vibabuUsikurupuke elewa kwanza mantiki ya kilicho andikwa
Inaonekana una kichwa kigumu Sana kuelewa vitu vidogo tuu 🚮🚮Wewe umeandika miaka 21 ni mtoto kisheria hakuna huyo mtu mzima labda kwenu mnakosoma vibibi na vibabu
Miaka 21 anakuwa tayari ana digrii alusha graduate tayari kwenu huko aweza kuwa primary sababu huwa mnaanza shule mkiwa vikongwe
Uliposema miaka 21 ni mtoto ulimaanisha nini labda? Sababu wewe ndie ulieandika nielewesheInaonekana una kichwa kigumu Sana kuelewa vitu vidogo tuu 🚮🚮
Umesema kila kitu. Halafu saa nyingine mtu sio usalama wa taifa ila ana kiherehere fulani hivi kilichochanganyikana na uzalendo lazima achome kila kitu.Tatizo la copy and paste Gen Z ya Kenya walikuwa hawatumii watsapp
group hilo analo atakoma
Watsappp groups usalama wa taifa kama wote wa umri wake wanaoandaliwa kufanya kazi usalama wa taifa wengine wana ajira tayari toka sekondari walikokuwa recruited na maafisa usalama wa taifa walimu wa kawaida au walimu wakuu baada ya kuwaona wanafaa
Magroup ya WhatsApp yamejaa usalama wa taifa yote tu
Ukipost chochote tishio kwa nchi jiandae kudakwa wala sio siri
achaa basii mtoto wa 2004 wakiumee nii mdgo mnoo kwa mbele huyuu sawa na mtoto wa miaka 16 au 17 tuuSio mdogo
Ni mdogo kiumri ila akili na mwili vimeshakuwa kiasi kwamba anaweza kufanya maamuziachaa basii mtoto wa 2004 wakiumee nii mdgo mnoo kwa mbele huyuu sawa na mtoto wa miaka 16 au 17 tuu
Sure wanaongeaga hivyo kanakwamba hayo mahojiano ni kama maongezi tu.Hapo kwenye kuendelea kuhojiwa ni kifinyo cha hatari. Vijana kuweni makini.