Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Kanda ya Ziwa akamatwa kwa tuhuma za kuhamasisha vurugu

Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Kanda ya Ziwa akamatwa kwa tuhuma za kuhamasisha vurugu

uyu ndiye Faustine Jackson Mafwele na namba zake za Simu ni +255 755 855 743 na +255 787 922 913Huyu ameua watu wengi sana Mwanza , sasa ni kiongozi wa utekaji Dar na Tanzania nzima kupitia kituo cha Polisi Chang’ombe Temeka ambapo wana jengo la mateso kwa Watanzania
GVvhRc-XgAAvdew.jpg
 
Usikurupuke elewa kwanza mantiki ya kilicho andikwa
Wewe umeandika miaka 21 ni mtoto kisheria hakuna huyo mtu mzima labda kwenu mnakosoma vibibi na vibabu

Miaka 21 anakuwa tayari ana digrii alisha graduate tayari kwenu huko aweza kuwa primary sababu huwa mnaanza shule mkiwa vikongwe
 
Wewe umeandika miaka 21 ni mtoto kisheria hakuna huyo mtu mzima labda kwenu mnakosoma vibibi na vibabu

Miaka 21 anakuwa tayari ana digrii alusha graduate tayari kwenu huko aweza kuwa primary sababu huwa mnaanza shule mkiwa vikongwe
Inaonekana una kichwa kigumu Sana kuelewa vitu vidogo tuu 🚮🚮
 
Kwanini wafikie huk9 hao vijana, kuna namna wananyanyaswa si bure.
 
Tatizo la copy and paste Gen Z ya Kenya walikuwa hawatumii watsapp
group hilo analo atakoma

Watsappp groups usalama wa taifa kama wote wa umri wake wanaoandaliwa kufanya kazi usalama wa taifa wengine wana ajira tayari toka sekondari walikokuwa recruited na maafisa usalama wa taifa walimu wa kawaida au walimu wakuu baada ya kuwaona wanafaa

Magroup ya WhatsApp yamejaa usalama wa taifa yote tu

Ukipost chochote tishio kwa nchi jiandae kudakwa wala sio siri
Umesema kila kitu. Halafu saa nyingine mtu sio usalama wa taifa ila ana kiherehere fulani hivi kilichochanganyikana na uzalendo lazima achome kila kitu.
 
duh hii ni hatari sasa, tuanze sasa kutumia akili zaidi kuliko nguvu, Vijana wakishaanza kuwa na mawazo haya jua kuna hatari inakuja.
 
Back
Top Bottom