Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amini mkuu inabdi kuna point unajiambiaa huu sasa ungeseeee yatoshaaa.. kwenye mapenzi jiokoe mwenyeweeRiki booooooy!! Umeongea kiandamizi sana mkuu
Wewe una research ya haya uliyoyaandika?Kwa nini una-justify na kuhitimisha moja kwa moja kwamba amejiua bila ya kuwepo kwa ripoti ya uchunguzi/postmortem??????
Umejuaje kama kajiua?? Je, kama amenyongwa utasemaje kama amejiua????
No research no right to speak.
Nani kathibitisha kwamba chanzo cha kifo chake ni mapenzi????Daah mapenzi sio mchezo kama hauna uwezo wa kuvumilia maumivu bora uwe single tu ndio best option
Kwani kuna kitu chochote ambacho nimethibitisha hapa?? Uko sawasawa kichwani???Wewe una research ya haya uliyoyaandika?
Mimi nikifikiriaga English premier league,UEFA na tamthilia za Azam two hata sitamani kufa kabisaKila nikifikiria utamu wa Pombe, stimu za Bangi na Vibinti vya Chuo, Madem wa Sinza & Juliana akili za kujiua huwa zinapotea kabisa
mapenzi inabidi uwe na backup ( parallel backup ) 😅😅yani mapenzi kuwa nayo makini sanaa ukikaa kiboya yanakuendeshaaa sanaaa
Ile stimu umeweka mzigo una msubiria man u tu atupie mzigo usome alafu etii nijisepeshe weeeeeMimi nikifikiriaga English premier league,UEFA na tamthilia za Azam two hata sitamani kufa kabisa
ujanani nilikuwa nikizinguliwa napiga punyeto kuanzia asubuhi hadi siku inayofata asubuhi yaani 24hours .. nikitoka hapo sina hata kumbukumbu kama nilitendwaaa.. maisha yana songadah sijui vijana wanakwama wapi.. binafsi mpaka umri zaidi ya 40yrs sijawahi kupenda pamoja na kumiliki pisi kali enzi hizo lakini ukianza tu kuleta mbwembwe unapigwa za mbavu.
Vijana mjifunze kuhamishia hasira kwenye kutafuta hela, zikiwepo hawa unakuwa na stock za kutosha wa kila aina mpaka demu wako mwenyewe anakuheshimu.
SI kichwani tu, niko sawa kila sehemu. Umethibitisha kwamba hatakiwa kuthibitisha jambo kama hana research. Kitu ambacho na wewe umefanyaKwani kuna kitu chochote ambacho nimethibitisha hapa?? Uko sawasawa kichwani???
Yaaani stock yakutoshaa ukiiangalia unabaki hiiiiiii😂dah sijui vijana wanakwama wapi.. binafsi mpaka umri zaidi ya 40yrs sijawahi kupenda pamoja na kumiliki pisi kali enzi hizo lakini ukianza tu kuleta mbwembwe unapigwa za mbavu.
Vijana mjifunze kuhamishia hasira kwenye kutafuta hela, zikiwepo hawa unakuwa na stock za kutosha wa kila aina mpaka demu wako mwenyewe anakuheshimu.
Mm kila nikikumbuka utamu wa mdudu na ndizi na kachumbari sikumbuki kama kuna shida tena[emoji23]Kila nikifikiria utamu wa Pombe, stimu za Bangi na Vibinti vya Chuo, Madem wa Sinza & Juliana akili za kujiua huwa zinapotea kabisa
KItimoto ya kukaanga na kachumbari ya Kwa Mushi asee hivi vitu sijui kama mbinguni vitakuwepo aseeMm kila nikikumbuka utamu wa mdudu na ndizi na kachumbari sikumbuki kama kuna shida tena[emoji23]
Tufanye vitakuwepo [emoji3]KItimoto ya kukaanga na kachumbari ya Kwa Mushi asee hivi vitu sijui kama mbinguni vitakuwepo asee