Mwanafunzi wa chuo cha TIA Mtwara ajiua

Mwanafunzi wa chuo cha TIA Mtwara ajiua

Mi siwezi jiua kikubwa mashine nimebaki nayo mengine nitajua

Msalimie shetani marehemu
 
Ila watoto wa siku hz sijui wapoje huyu kanyimwa nguo za sikukuu kajiua huyu kahamishwa shule kajinyonga huyu naye sijui mapenzi.....kwann wanakuwa na roho ndogo hv
 
Kitu ambacho watumiaji wengi wa JF hawakijui ni kwamba hapa Jf kuna watu huwa wanaanzisha nyuzi zao kwa malengo maalumu.

Pia watu hao wapo hapa Jf kimkakati ili kutekeleza hayo malengo yao maalumu kwa dhamira ya kuwa-drive watu hapa kuelekea upande wanaotaka wao kifikra na kimtazamo (just like the mind-control techniques) au kwa lengo la ku-divert attention za watu or deceiving people.

Kiuhalisia pengine huenda huyu mtu ameuawa makusudi kwa visa vya uhalifu/mauaji ya kupangwa, lakini hapa ametumwa mtu ili aje kufungua nyuzi huku Jf kwa lengo la kuwageresha watu waamini kwamba kweli huyu mtu kajiua, kumbe ameuawa.

Pengine muuaji nataka kuficha sababu halisi ya kifo cha marehemu kwa kuja haraka huku Jf na kuanzisha uzi huu ili kuwachanganya watu.
 
dah sijui vijana wanakwama wapi.. binafsi mpaka umri zaidi ya 40yrs sijawahi kupenda pamoja na kumiliki pisi kali enzi hizo lakini ukianza tu kuleta mbwembwe unapigwa za mbavu.

Vijana mjifunze kuhamishia hasira kwenye kutafuta hela, zikiwepo hawa unakuwa na stock za kutosha wa kila aina mpaka demu wako mwenyewe anakuheshimu.
 
dah sijui vijana wanakwama wapi.. binafsi mpaka umri zaidi ya 40yrs sijawahi kupenda pamoja na kumiliki pisi kali enzi hizo lakini ukianza tu kuleta mbwembwe unapigwa za mbavu.

Vijana mjifunze kuhamishia hasira kwenye kutafuta hela, zikiwepo hawa unakuwa na stock za kutosha wa kila aina mpaka demu wako mwenyewe anakuheshimu.
ujanani nilikuwa nikizinguliwa napiga punyeto kuanzia asubuhi hadi siku inayofata asubuhi yaani 24hours .. nikitoka hapo sina hata kumbukumbu kama nilitendwaaa.. maisha yana songa

C.c dronedrake
 
dah sijui vijana wanakwama wapi.. binafsi mpaka umri zaidi ya 40yrs sijawahi kupenda pamoja na kumiliki pisi kali enzi hizo lakini ukianza tu kuleta mbwembwe unapigwa za mbavu.

Vijana mjifunze kuhamishia hasira kwenye kutafuta hela, zikiwepo hawa unakuwa na stock za kutosha wa kila aina mpaka demu wako mwenyewe anakuheshimu.
Yaaani stock yakutoshaa ukiiangalia unabaki hiiiiiii😂
 
Back
Top Bottom