Mwanafunzi wa chuo cha TIA Mtwara ajiua

Mwanafunzi wa chuo cha TIA Mtwara ajiua

Kiukweli huwezi kumcheka mtu aliyejitoa uhai kwasababu huwezi jua amepitia maumivu yapi mpaka akafikia kuchukua maamuzi magumu.
 
Vijana umri wa balehe pitieni 'kazi' nyingi hadi mkinaike na after 20 mkiwa na mahusiano, muwe mnachepuka mara moja moja, ili msifikie mawazo haya pindi mnapo tendwa.
Wangejua uliyopitia wasingewaza kujiua mkuu😀😀
Em fanya kuwa-tag ule uzi wako maybe utaokoa wengi Wildlifer
 
Nakumbuka nikiwa third year pale T.I.A Kurasini Dar. Kuna dogo mmoja aliwahi kunywa nyagi na madawa ili afe....ikashindikana....then akatoka na kupanda juu ya ghorofa ( hostel) akajirusha chini....lakini jamaa hakufa aisee wala kuvunjika hata mguu au mkono ...hakutoka hata meno asee daah [emoji15][emoji15][emoji15]

Yote hiyo kwasababu ya mapenzi.

Afu dem mwenyewe sasa.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sisi wanaume bhana!!! Kiazi kweli!!!
Uteja wa mapenzi ni mbaya
 
Kiukweli huwezi kumcheka mtu aliyejitoa uhai kwasababu huwezi jua amepitia maumivu yapi mpaka akafikia kuchukua maamuzi magumu.
Ni kuzidisha zaidi maarifa ya kiroho ili hio hali ikikukuta ujue jinsi ya kusolve
 
Yani haya maishaaa Tatizo moja tena mwingine ukutwe ni kubwa zaidi lakini hata Kujiua hawaziii.. mwinginee kitatizo kidogoo tayari ashawaza kujiuaa
Hizi issue za kujiua mkuu zina connection na mambo ya mapepo seriously. Kuna roho flani inakuvaa na kukuweka mbali na watu na kukushawishi kuchukua hiyo hatua na kukuonesha kuwa hakuna linaloweza kufanyika ili kujitoa katika hali hiyo ya huzuni iliyokukumba. Tunaambiwa tuombe na tusali no matter tunamkosea Mungu kilasiku kwamaana yeye NI mwingi wa rehema hata atusamehe dhambi zetu.
 
Mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu (TIA) Mkoani Mtwara aliyetambulika kwa jina moja la Regan ambaye amekuwa akiishi Mtaa wa Chikongola, Manispaa ya Mtwara- Mikindani anadaiwa kujinyonga hadi kufariki na mwili wake kukutwa ndani ya chumba chake.

Taarifa za kifo chake zilianza kusambaa jana July 4,2023 majira ya saa sita mchana na hadi sasa sababu zilizofanya ajitoe uhai hazijajulikana.

Baadhi ya Mashuhuda wameeleza hisia zao na kusema huenda Kijana huyo aliamua kujitoa uhai kutokana na masuala ya kimapenzi kwasababu Siku sio nyingi alikua amegombana na Mpenzi wake waliyekuwa wakiishi pamoja.

Kamanda wa wa Mtwara Nicodemus Katembo amesema amepokea taarifa za tukio hilo na atalitolea ufafanuzi baada ya uchunguzi wa Madaktari kukamilika na kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Ligula.

Marehemu Reagan muda mfupi kabla ya kujitoa uhai aliweka picha yake ya utoto kwenye WhatsApp Status yake na kuandika maneno yafuatayo ——> “🙏🏾 kwa jasho lako utajipatia chakula mpaka utakaporudi udongoni ulimotwaliwa, maana WEWE NI MAVUMBI NA MAVUMBINI UTARUDI”
Hakupatana na watu wakasimamia Psychology yake.

Lakini tusimuone mjinga
 
Nakumbuka nikiwa third year pale T.I.A Kurasini Dar. Kuna dogo mmoja aliwahi kunywa nyagi na madawa ili afe....ikashindikana....then akatoka na kupanda juu ya ghorofa ( hostel) akajirusha chini....lakini jamaa hakufa aisee wala kuvunjika hata mguu au mkono ...hakutoka hata meno asee daah [emoji15][emoji15][emoji15]

Yote hiyo kwasababu ya mapenzi.

Afu dem mwenyewe sasa.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sisi wanaume bhana!!! Kiazi kweli!!!
Sura na shape tutavikataa ila yaliyomo ndio 😋
 
Nakumbuka nikiwa third year pale T.I.A Kurasini Dar. Kuna dogo mmoja aliwahi kunywa nyagi na madawa ili afe....ikashindikana....then akatoka na kupanda juu ya ghorofa ( hostel) akajirusha chini....lakini jamaa hakufa aisee wala kuvunjika hata mguu au mkono ...hakutoka hata meno asee daah [emoji15][emoji15][emoji15]

Yote hiyo kwasababu ya mapenzi.

Afu dem mwenyewe sasa.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sisi wanaume bhana!!! Kiazi kweli!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni Akili ndogo,yeye Ndiye wakwanza kugombana na mpenzi wake?Halafu ukifuatilia utakuta pisi ynyewe mbovu.R.I.P
 
Back
Top Bottom