MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Acha nipate hivi vya live hapa duniani then muda wangu ukifika, kila la kheriTufanye vitakuwepo [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha nipate hivi vya live hapa duniani then muda wangu ukifika, kila la kheriTufanye vitakuwepo [emoji3]
Hapo uhakika mkuu tusisahau kuishiAcha nipate hivi vya live hapa duniani then muda wangu ukifika, kila la kheri
Kwanza inawezekanajee?Haijawahi kunikaa akilini nijiue kisa mapenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ujanani nilikuwa nikizinguliwa napiga punyeto kuanzia asubuhi hadi siku inayofata asubuhi yaani 24hours .. nikitoka hapo sina hata kumbukumbu kama nilitendwaaa.. maisha yana songa
C.c dronedrake
Unajitoa uhai kisa mwanamke? Huyu anashidaMwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu (TIA) Mkoani Mtwara aliyetambulika kwa jina moja la Regan ambaye amekuwa akiishi Mtaa wa Chikongola, Manispaa ya Mtwara- Mikindani anadaiwa kujinyonga hadi kufariki na mwili wake kukutwa ndani ya chumba chake.
Taarifa za kifo chake zilianza kusambaa jana July 4,2023 majira ya saa sita mchana na hadi sasa sababu zilizofanya ajitoe uhai hazijajulikana.
Baadhi ya Mashuhuda wameeleza hisia zao na kusema huenda Kijana huyo aliamua kujitoa uhai kutokana na masuala ya kimapenzi kwasababu Siku sio nyingi alikua amegombana na Mpenzi wake waliyekuwa wakiishi pamoja.
Kamanda wa wa Mtwara Nicodemus Katembo amesema amepokea taarifa za tukio hilo na atalitolea ufafanuzi baada ya uchunguzi wa Madaktari kukamilika na kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Ligula.
Marehemu Reagan muda mfupi kabla ya kujitoa uhai aliweka picha yake ya utoto kwenye WhatsApp Status yake na kuandika maneno yafuatayo ——> “🙏🏾 kwa jasho lako utajipatia chakula mpaka utakaporudi udongoni ulimotwaliwa, maana WEWE NI MAVUMBI NA MAVUMBINI UTARUDI”
Unakuta wanajifariji kuwa wenye WIVU WAMEMLOGA kumbe AMEJILOGA NA WIVU WA MAPENZI,,,,kweli mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, pia maisha n utakavyoyapeleka wewe mwenyewe.Ila inauma sana unakuta ndugu zake walijinyima ili asome harafu anafanya ufara wa kujiua
Nikiwa third year pale T.I.A Kurasini Dar. Kuna dogo mmoja aliwahi kunywa nyagi na madawa ili afe....ikashindikana....then akatoka na kupanda juu ya ghorofa ( hostel) akajirusha chini....lakini jamaa hakufa aisee wala kuvunjika hata mguu au mkono [emoji15][emoji15][emoji15]
Yote hiyo kwasababu ya mapenzi.
Afu dem mwenyewe sasa.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wanaume bhana!!! Kiazi kweli!!!
Le baba asee jamaa hakuvunjika kitu o-ote babrah ....Hostel za TIA kiukweli mtu akijirusha sioni rahisi kupoteza maisha labda kuvunjika .
Ukomavu kwenye maswala ya mahusiano na mapenzi kiujumla ni muhimu sana. Huyu dogo inaelekea hakuwahi kutendwa hapo nyuma. Angetuuliza wakulungwa jinsi ya kuhandle haya mambo Kwanza.Yaani mapenzi kuwa nayo makini sana ukikaa kiboya yanakuendeshaaa sana.
Daah acha tu nduguu mapenzi sioo.. Hapo ukute katoa helaa za kutosha yaniiUkomavu kwenye maswala ya mahusiano na mapenzi kiujumla ni muhimu sana. Huyu dogo inaelekea hakuwahi kutendwa hapo nyuma. Angetuuliza wakulungwa jinsi ya kuhandle haya mambo Kwanza.
RIP Reagan
Boy mi hata nitoe kiasi gani, demu akiamua kutembea na atembee tu. Yaani ile ya kati inifanye nijinyonge na wamejaa hawa kibao!!!😆😆Daah acha tu nduguu mapenzi sioo.. Hapo ukute katoa helaa za kutosha yanii
Yani haya maishaaa Tatizo moja tena mwingine ukutwe ni kubwa zaidi lakini hata Kujiua hawaziii.. mwinginee kitatizo kidogoo tayari ashawaza kujiuaaBoy mi hata nitoe kiasi gani, demu akiamua kutembea na atembee tu. Yaani ile ya kati inifanye nijinyonge na wamejaa hawa kibao!!![emoji38][emoji38]
Nasema badooo.......
Na mie nimehisi hakua financial vizuri, ndo akakataa tamaa na kuamua hivyooo.Mimi nahisi alikua ana struggle financially kuandika ujumbe kama huo
Vitoto vidogo vya kiume havina kipato wala ajira badala ya ku concentrate kusoma vinajiingiza kwenye mahusiano ya mapenziYaani mapenzi kuwa nayo makini sana ukikaa kiboya yanakuendeshaaa sana.