Mwanafunzi wa chuo cha TIA Mtwara ajiua

RIP Reegan
[emoji24][emoji24][emoji24]

Sijui wazazi wake wako na hali ganii, uwiiih
 
Unajitoa uhai kisa mwanamke? Huyu anashida
 
Duniani kuna nguvu mbili tu ya kwanza ni nguvu ya mapenzi ya pili nguvu ya pesa.
Nikisikia mtu amejiua kisa mapenzi wala siwezi kumcheka wala kumlaumu.
NB:mwanaume hatakiwi kuwa na mwanamke mmoja ukijiona una mwanamke mmoja siku zako za kufa zinahesabika
 

Hostel za TIA kiukweli mtu akijirusha sioni rahisi kupoteza maisha labda kuvunjika .
 
Ukomavu kwenye maswala ya mahusiano na mapenzi kiujumla ni muhimu sana. Huyu dogo inaelekea hakuwahi kutendwa hapo nyuma. Angetuuliza wakulungwa jinsi ya kuhandle haya mambo Kwanza.
RIP Reagan
Daah acha tu nduguu mapenzi sioo.. Hapo ukute katoa helaa za kutosha yanii
 
Boy mi hata nitoe kiasi gani, demu akiamua kutembea na atembee tu. Yaani ile ya kati inifanye nijinyonge na wamejaa hawa kibao!!![emoji38][emoji38]
Nasema badooo.......
Yani haya maishaaa Tatizo moja tena mwingine ukutwe ni kubwa zaidi lakini hata Kujiua hawaziii.. mwinginee kitatizo kidogoo tayari ashawaza kujiuaa
 
Yaani mapenzi kuwa nayo makini sana ukikaa kiboya yanakuendeshaaa sana.
Vitoto vidogo vya kiume havina kipato wala ajira badala ya ku concentrate kusoma vinajiingiza kwenye mahusiano ya mapenzi

Mapenzi ni kwa ajili ya watu wazima wenye kipato cha uhakika

Hivi vyana vyuo vya kiume hopeless kabisa

Vijikite kusoma Shenfield type
 
Vijana umri wa balehe pitieni 'kazi' nyingi hadi mkinaike na after 20 mkiwa na mahusiano, muwe mnachepuka mara moja moja, ili msifikie mawazo haya pindi mnapo tendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…