Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #221
Bado sijaona, nioneshe πna ndo nafanya ivo,,au we huoni π€£
Ila wenyewe pia mnapenda wazee.
One mistake, one goal. Kwenye maisha ni kuviziana. Hizo zinatokea sana, ni wakufunzi wachache sana ambao hawana muda na pisi za chuo.Kabisa Ila watu wanachukulia wachache wanaotoa rushwa za ngono kusawazisha mambo yao. Na usishangae, student kamiss mtihani au kakamatwa somo flani, lecturer ndio anatumia huo mwanya kufanya yake..
Vyuoni kuna mengi yanaendelea. Lecturers baadhi wanatumia wanafunzi kama part of fun
hapana ππ,, kumbe alitoka uko mkoa alokua anakaa kaacha mke na mtoto wana life gumu aseee afu nakuja kujua tayar nna mimba ,, nilkua sna tabia ya kushika cm yake sku io nikashikaππΎππΎ,,,,, tuishie apa kifup msipende sana kutunanga single maza tuna mengiiiiπ€£π€£π€£π€£πππππKuna mahali ulizingua yeye akaamua kukuonesha kuwa anaeoa ni me.
nivue nguo mbele yenu sioπBado sijaona, nioneshe π
Watoto wabichi wazuri, ni zaidi ya kishawishi.Mkuu, sema na watoto wanaokuja ofisini, yahitaji moyo wa kishujaa .. Maana wanamikia ya kiwango cha juu sana.
Sawa mkuu ila point ya msingi hapo ni kutofautiana.Anae fanya na maiti, anae nunua na anae omba rushwa ya ngono wote kundi moja
Hovyo kabisa.ni tabia mbaya tu mheshimiwa
Hio tittle ndo ilikua shida ila sasa naona mods wamefanya wepesiWapi nimevaa uhusika? Soma comments utaelewa.
Yaani nivae uhusika wakike? Nmeona michango ya baadhi ya wadau kama genta ikinielekeza ukikeni lakini nimeipangua.
hii ni habari ya milardayo, hapa nimeleta kama ilivyo.
Simps na losers wanaweza. Wanaume tuliokamilika ndiyo pekee tusioweza huo ubakaji.Ila Kuna watu wanazingua sana hivi unalalaje na demu ambaye Hana hisia na wewe kwa kumshindikiza
sawa,, wahusika wamekusikiaHovyo kabisa.
Na nyie muache tamaa sasa
Shida wana hela ya kuwadhibiti mademu zenu wa chuo.Mkuu sikatai watu wachapane miti wanavotaka.
Ila kwanini wazee wawe chanzo cha mambo ya ajabu ajabu kwa sasa.
Kuna uzi furani wa ukimwi walitoa takwimu wazee ndo wanaongoza kuambukiza.
Hawa wazee ni hovyo sana inabidi sasa tu deal nao perpendicular wanakera mno
Hapana sitokua wa hovyo hivo mkuu..Walikufanyaje mkuu, nawewe utazeeka ujue.
Zinajifuga zenyewe mkuu au nikate kichwa?Kumradhii mkuu kumbe na wewe ni mfuga ndevu.
Sipo chuo mkuu nilishapita hukoShida wana hela ya kuwadhibiti mademu zenu wa chuo.
Mwanamke hahitaji hisia kufanya ngono, tofauti na wanaume.Hilo mbona linawezekana sana, jiulize wanaouza miili yao inakuaje.
Kama niliwahi kuwananga mnisamehe sana maana kituo nilichopo sasa ni singo maza πhapana ππ,, kumbe alitoka uko mkoa alokua anakaa kaacha mke na mtoto wana life gumu aseee afu nakuja kujua tayar nna mimba ,, nilkua sna tabia ya kushika cm yake sku io nikashikaππΎππΎ,,,,, tuishie apa kifup msipende sana kutunanga single maza tuna mengiiiiπ€£π€£π€£π€£πππππ
Yetu au yangu?nivue nguo mbele yenu sioπ
Ok mkuu.Hio tittle ndo ilikua shida ila sasa naona mods wamefanya wepesi