Hii nimeishuhudia mkuu, lecturer akishamuelewa student flani anaanza kumfuatilia kikawaida Ila akikataliwa ndio anaanza kutumia "ulekcha" wake kufanya hivyo. Na usichokitambua, kuna baadhi ya "lecturers" hiyo kwao ni part of fun na huwa wanahadithiana na kusaidiana.
Kuna chuo kimoja, kuna lecturer alikuwa ana tabia ya kutembea na wanafunzi group zima, yani kama kuna watoto wa kike wanaopenda kutembea pamoja, yeye atataka kuwapitia wote ili tu atimize fantasy zake
Nakuhakikishia, ikitengenezwa system ya kukamata lecturers, wengi watafukuzwa kazi