900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Hali ni mbaya hapo ni field tu bado ajiraRushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.
Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.
tumekusamehe,,mi ndoman hua sijali ata mkinanga coz nyie ndo chanzo😂😂😂,,, enhee turud kwenye mada....Kama niliwahi kuwananga mnisamehe sana maana kituo nilichopo sasa ni singo maza 😂
Wanaume sisi shida ndo inaanzia hapo...Mwanamke hahitaji hisia kufanya ngono, tofauti na wanaume.
Unalalaje na mtu ambaye anaonesha wazi hakuhitaji wala hakupendi (na siyo kahaba)?
Ni kweli mkuu na hii ni systemOne mistake, one goal. Kwenye maisha ni kuviziana. Hizo zinatokea sana, ni wakufunzi wachache sana ambao hawana muda na pisi za chuo.
Uwafundishe na wanao mambo mema yatakayowawezesha kuyaepuka hayo pia.Hapana sitokua wa hovyo hivo mkuu..
Sitofikia hii hatua ya kuanza kusumbua watoto wa 2000
humu mpo wengi sasa😂😂Yetu au yangu?
Ma lecture hawana baya wanaonewa tuMsisahau kuwataja ma lecturer!
Mimi natoa rai kwa vijana na hao wazee mtu atakaepita na bloodline yangu anakula pipe..Uwafundishe na wanao mambo mema yatakayowawezesha kuyaepuka hayo pia.
wanakwambia we piga stata gari itawakia kwenye mteremkoIla Kuna watu wanazingua sana hivi unalalaje na demu ambaye Hana hisia na wewe kwa kumshindikiza
Kwangu binafsi napenda nilale na mtu nnaemkubali kwa kiasi fulani. Sio kwamba nashindwa kulala na ke yeyote yule ila najua kuzicontrol tamaa zangu. Kuna ke ata afanye nini siwezi lala nae.Mwanamke hahitaji hisia kufanya ngono, tofauti na wanaume.
Unalalaje na mtu ambaye anaonesha wazi hakuhitaji wala hakupendi (na siyo kahaba)?
Wameshatajwa mkuu, hao nao ni hatari sana kwa dada zetu. Ila wao wenyewe wanajilengesha.Msisahau kuwataja ma lecturer!
Namna hiyo. Sasa hao hayawani wanalala na yeyote alimradi awe na uke.Kwangu binafsi napenda nilale na mtu nnaemkubali kwa kiasi fulani. Sio kwamba nashindwa kulala na ke yeyote yule ila najua kuzicontrol tamaa zangu. Kuna ke ata afanye nini siwezi lala nae.
Hiyo ni reflection ya yanayoendelea kwenye ajira.Hali ni mbaya hapo ni field tu bado ajira
Hizo kesi vyuoni hazifiki mbali Ila ikitokea kama mwanafunzi kwao kuna uwezo. Ndio hao huwa wanahusisha hadi PCCB lakini baada ya hapo, victim ndio huchukuliwa kama anachafua chuo au kaharibu maisha ya mwalimu wao. Kinachofuata hapo, ni kheri binti ahame chuo maana possibility kubwa ni kuwa atawindwa na lecturers almost wotemwanamke yeyote mwenye 18+ hawezi kukufunulia uchi wake bila ridhaa yake hata umshikie bunduki labda umbake. bear that in your mind.
sasa nikuulize ni nani amewahi kuripoti kesi ya ubakaji uko maofisini
Mapmbv kabisaNamna hiyo. Sasa hao hayawani wanalala na yeyote alimradi awe na uke.
Mkuu umekamia hii point ya malecture kweli kweli.Hizo kesi vyuoni hazifiki mbali Ila ikitokea kama mwanafunzi kwao kuna uwezo. Ndio hao huwa wanahusisha hadi PCCB lakini baada ya hapo, victim ndio huchukuliwa kama anachafua chuo au kaharibu maisha ya mwalimu wao. Kinachofuata hapo, ni kheri binti ahame chuo maana possibility kubwa ni kuwa atawindwa na lecturers almost wote
Hizi sio hear says, nimezishuhudia mkuu. Na kama bado unaamini binti akifika 18+ hawezi kushawishiwa. Subiri liingie kwenye familia yako. Utaelewa practically mkuu
Ndio dunia ilipo kwa sasa, unalolisema ni la msingi ila kwa kizazi cha sasa utaonekana unashangazwa na kitu cha kawaida.Namna hiyo. Sasa hao hayawani wanalala na yeyote alimradi awe na uke.
Mizee ambayo ujanani ilishindwa kutongoza wanawake wazuri inatumia madaraka yao kuwatumia watoto wazuri. Ni ushamba na uhayawani.Wanaume sisi shida ndo inaanzia hapo...
Na hapo ndo tunapata wazee wa hovyo ambao kuna makundi mawili waliopo jf na waliopo mtaani
Asante studio, tuendelee na mada.tumekusamehe,,mi ndoman hua sijali ata mkinanga coz nyie ndo chanzo😂😂😂,,, enhee turud kwenye mada....
Ni hatari sijui kifanyike kipi kulimaliza hili.Ni kweli mkuu na hii ni system