Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Mizee ambayo ujanani ilishindwa kutongoza wanawake wazuri inatumia madaraka yao kuwatumia watoto wazuri. Ni ushamba na uhayawani.
Ndo hii kutwa kusema tafuta pesa..
Kuna mizee hata humu ipo ya Hovyo sana...

Mtu unataka kula vitoto vya masikini kiholela holela tuu.

Mi nakuta mtu ana mambo kama haya ni pipe ya kichwa afie mbele huko
 
Mkuu umekamia hii point ya malecture kweli kweli.

Ilishawahi kuwafikia watu watatu, ninaowajua . Mmoja aliihusisha takukuru Ila cha moto alikiona , mmoja alikaza mwanzo mwisho ila alilowea kwenye pombe ili apunguze stress za hiyo situation maana lecturer alikuwa anamfanyia harassment kila anapomuona hadi class. Ikabidi awe anajifungia room Tu japo alikuwa anatumiwa text za "unajifanya mjanja, tutaona kama utarudi next semester"

Huyo mwingine niliona issue yake imekufa ghafla, nikajua aidha lecturer ni msikivu au amepata alichokitaka😁😁
 
Kumbe nao malecture kama wazee wa humu jf nao hovyo sana.

Sasa kwa stage aliyopo yeye ni ya kula mwanafunzi kweli kwa ajili ya kumjazia assignment..

Malecture nao hovyo sana pmbv zao hawa na hii ngoja nifatilie isije kuwa binti kila semister anakuja na matokeo mazri nafurahia kumbe huku chini hamna kazi.

Mkuu asante kwa kunisanua
 
Unatafta coursework utaachaje kuachia paja, ukikaza unafelishwa tu sasa nani anataka kupotezena muda.
 
nime experience ivo vitu kipindi nipo chuo kwa madem zangu wawili ambao waliingia kwenye 18 za hao lecturers so nina uhakika na nilichokiandika mimi mwenyewe nilikua victim maana niligraduate mwaka mwingine tofauti na wenzangu baada ya kulimwa sup.

kuna lecturer mmoja bado anamfuatilia dem wangu mmoja mpaka leo bila mafanikio pamoja na intimidations kibao kipindi tupo chuo wakati ashagraduate.

ukweli ni kwamba hao wadada wanatoa izo rushwa kwa KURIDHIA na inadepend na mdada mwenyewe jinsi alivyojiweka sio wote wanaombwa.
 
Pole mkuu Ila ndio maisha
 
Unatafta coursework utaachaje kuachia paja, ukikaza unafelishwa tu sasa nani anataka kupotezena muda.
Tunawatetea mabinti ila Kuna wakati huyo rushwa inawasaidia mabinti

Binti anajijua akili zake tia maji tia maji,masela wa kitaa wanakung'uta kishkaji kwa 15k hadi 30k. Lecturer akiomba mzigo ili afaulu UE ,Demu anasema Bora huyu Dr kuliko Sele bonge.
 
Upele umepata mkunaji.. Chalamila ni bonge la Mwanasaikolojia.

Vibbinti siku hizi ndo vinapenda Vibabu.

Over.
 
Upele umepata mkunaji.. Chalamila ni bonge la Mwanasaikolojia.

Vibbinti siku hizi ndo vinapenda Vibabu.

Over.
Ukifanya tafiti ndogo ata ya humu ndani utabaini hilo pia kuwa mabinti wanapenda sana wazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…