Mwanafunzi wa field azungumza mbele ya RC Chalamila changamoto ya Rushwa ya ngono wanayokumbana nayo kwenye ofisi mbalimbali wakati wa kutafuta field

Yani saivi ni shagalabagala,,si vijana si wazee wote ni hovyo🤣.

adi nimeamua kua mwenyewe tu sasa nitafute pesa.

Siku nitaleta ushuhuda hakika wote humu mtalia 😂
Humu jf hakuna vijana wa hovyo wa kufanya wewe kuwa mwenyewe.
Ila wazee ndio hovyo ambao kama ungeingia huko ingekua mbaya zaidi.

Muda bado upo angalia kijana mmoja ambaye unaona anaelekea tulia nae mutafute pesa
 
Hapana ila unapotaka kuongelea hao watu kuna sehemu ya kuweka malalamiko hivo unapoleta maneno kama hayo unajitafutia BAN kijana
Hawawahuni tu mkuuu asikwambie mtu m niliwahi kuwa dalali wa hr siku nagundua anaumwa hiv nilichoka alipokufa walipuputika mmojammmoja ofisin achatu nkatubu na kufunga..

Yaan 1 akafa na 357922
3 akafaa na 468111 achakabisaa
 
Humu jf hakuna vijana wa hovyo wa kufanya wewe kuwa mwenyewe.
Ila wazee ndio hovyo ambao kama ungeingia huko ingekua mbaya zaidi.

Muda bado upo angalia kijana mmoja ambaye unaona anaelekea tulia nae mutafute pesa
shindwa nawewe😂🤣,,nilishaangalia uyo kijana aseeee aseeee aseeee,, vijana wa saiv ni balaa,,nmepigwa na kitu kizito hakika sitowahi sahau🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
Ikawaje mkuu?

Maza alizimika na bwanga la suruali 😂
 
Hawawahuni tu mkuuu asikwambie mtu m niliwahi kuwa dalali wa hr siku nagundua anaumwa hiv nilichoka alipokufa walipuputika mmojammmoja ofisin achatu nkatubu na kufunga..

Yaan 1 akafa na 357922
3 akafaa na 468111 achakabisaa
Haya mambo ni kuwa nayo makini sana.
Watu wanatembea na mavitu yao
Sasa huyu binti mpaka utoe rushwa ya ngono ndo upate kazi.

Haya unapata kazi baada ya miezi kazaa unagundua umebeba mavitu ya ajabu inakuaje hapo..?
 
shindwa nawewe😂🤣,,nilishaangalia uyo kijana aseeee aseeee aseeee,, vijana wa saiv ni balaa,,nmepigwa na kitu kizito hakika sitowahi sahau🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Binti tatizo huwenda ulikutana na wazee wa hovyo.
Kwa vijana hakuna mtu wa hovyo ni vile unashindwa kujua ni wakati gani sahihi wa kuwa na mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…