Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ila hiyo ya malecture wanakuza sana tofauti na uharisia ulivo.Wapo wanaojirahisisha Ila kuna wengi tu wanashinikizwa. Na kheri field kuliko vyuoni maana lecturers huwa hawataki neno HAPANA, na akilipata, atamsumbua huyo mwanafunzi hadi amkubalie au amfelishe
Hautoweza kunifanya chochote kwa sababu nishasema sitofanya hivyo. Nitakuwa na busara zangu kama mzee mwinyi.Mxiuuu hahahaha uiiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aloooh nkikufuma na mwanangu nitakufanya mbaya
Iwekwe sheria tu wanafunzi wa field wawe na uwezo wa ku report usumbufu huo kwa mamlaka husika. Wahusika wachukuliwe hatua asapRushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila.
Baada ya ziara ya Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila Chuoni hapo kukagua miradi ya ujenzi, alifanya mkutano na Uongozi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho ambapo katika waliohusika kutoa maoni ni huyu aliyepaza sauti kuhusu rushwa ya ngono.
#milardayoupdates.
😂 umoja ni nguvu lakini sio nguvu za kiume.WANAUMOJA WAO WAKIKUTANA WANALEWA WANAAMBIANA AISEE VIPI HUKO HAKUNA USAJILI MPYA
YAANA WANAJIONA KAMA ENGN HERSI PAMBAVUZAOOOO
nime screenshot hii kwa ukumbusho wa baadae,,we jinadi tuHautoweza kunifanya chochote kwa sababu nishasema sitofanya hivyo. Nitakuwa na busara zangu kama mzee mwinyi.
Basi inaelekea wewe sio binti ila ni shangazi wa haja mkuusio kwel,,ni kijana tu ila kazi hawataki wanataka kulelewa mkuu😫😫
Kwani hiyo sheria haipo? Itakuwepo ila hawareport, kwanini hawareport hiyo ni ishu nyingine.Iwekwe sheria tu wanafunzi wa field wawe na uwezo wa ku report usumbufu huo kwa mamlaka husika. Wahusika wachukuliwe hatua asap
Sijinadi ndio uhalisia nitakuwa mzee wa kuigwa.nime screenshot hii kwa ukumbusho wa baadae,,we jinadi tu
tatizo mkuu unatetea vijana 🤣hao vijana sasa wanataka sie mabinti twende job kisha tuwaletee,,,yani shangaz ghafla ivi🙄ata ujana sijamaliza.Basi inaelekea wewe sio binti ila ni shangazi wa haja mkuu
Time will tell 😂Sijinadi ndio uhalisia nitakuwa mzee wa kuigwa.
Kumbe ni wa mwaka 2000.yani we bado unatetea wazee sio,,wanatunyanyasa sana ingawa mimi sijawahi,ila nilinusurika mwaka 2019 uko arusha nilienda field 🤣🤣apo nna miaka 19 tu afu libaba nadhan lilikua kwenye arobaini naa.....
Leta shuhuda jamii ijifunze.Yani saivi ni shagalabagala,,si vijana si wazee wote ni hovyo🤣.
adi nimeamua kua mwenyewe tu sasa nitafute pesa.
Siku nitaleta ushuhuda hakika wote humu mtalia 😂
Ina maana huyo aliyetaka alelewa amekukadilia wewe kama shangazi fulanitatizo mkuu unatetea vijana 🤣hao vijana sasa wanataka sie mabinti twende job kisha tuwaletee,,,yani shangaz ghafla ivi🙄ata ujana sijamaliza.
hapana mkuu😳Kumbe ni wa mwaka 2000.
Baada ya barua kuna kuitwa, hapo kwenye wito ndio kunaanzaga mambo mengi.Half american alafu hi habari ya field hivi ni lazima mwanafunzi aende si anaweza peleka barua.
sikua binti wa nyumbani that's why, kwahiyo akajua apa uhakikaIna maana huyo aliyetaka alelewa amekukadilia wewe kama shangazi fulani
mwanamke yeyote mwenye 18+ hawezi kukufunulia uchi wake bila ridhaa yake hata umshikie bunduki labda umbake. bear that in your mind.Wapo wanaojirahisisha Ila kuna wengi tu wanashinikizwa. Na kheri field kuliko vyuoni maana lecturers huwa hawataki neno HAPANA, na akilipata, atamsumbua huyo mwanafunzi hadi amkubalie au amfelishe
Kwa niaba ya Wazee wote humu, napenda kukana tuhuma hizi.Walikufanyaje mkuu wazee wa humu?
Raisi wa wazee humu jf mzee wetu Grahams kuna malalamiko na kero kuhusu serikali yenu ya wazee. Nawasilisha.
Umesema 2019 ulikua 19 yrs.hapana mkuu😳