Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #281
Na wanajua wapo moto kuna muda wanafanya makusudi.Ndo hivyo mkuu, hata wazee pia ni binadamu.. Watoto wa sasa hivi wapo moto sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanajua wapo moto kuna muda wanafanya makusudi.Ndo hivyo mkuu, hata wazee pia ni binadamu.. Watoto wa sasa hivi wapo moto sana
😂 kwahiyo wanatunga mitihani migumu kama mtego wa kuwanasa wakifeli?Jibu atalipata wapi ? Wakati yeye mwenyewe ndiyo mapigo yake
Halafu ogopa ma-lecturer wafupi na wenye vipara!! Mitihani yao migumu sana ili wawapate wanafunzi wa kike wa kuwalala
Ikawa hadi ikazeekaenhee ikawaje.....
Sio kidogo, sana hasa nikiwa nimevaa vanskumbe na unadunda pia🙆🏾🏃🏾♀️
uliiachaje sasa naweweIkawa hadi ikazeeka
Hata wakiwalinda bado watu wanapita nao.Wanawafanyia hivyo watoto wa wenzao, watoto wao wanawalinda kwa bastola.
Heartless fools!
Sasa ningefanyaje?uliiachaje sasa nawewe
basi kazi ipo😫Sio kidogo, sana hasa nikiwa nimevaa vans
ungeniletea wajameniSasa ningefanyaje?
Ila wanapenda kavu, hiki kizazi ni hatari.Hao mademu wa 2000 wanaogopaga mimba tu!
Ona ulivyo na akili mbovu,wew ulitoa Nini mpaka ukapewa.Hakuna cha bure Kudadadeki. Unataka utoke Vua Chupi Watu waweke kisha ndiyo Ufikiriwe hutaki Kaa na Ujuzi wako Kwenu.
😂basi kazi ipo😫
nmekoma kiherehere 😂🙌🏾🚶🏾♀️
Ingewezekana kufanyika hivyo ingekuwa vizuri.Wafungwe hidden cameras na waweke kwenye mitandao kuwaaibisha hao wazee wanaotuharibia sifa ya Uzee
Mtoto anakuja kwangu ana shida kwanini nimuombe aisee
Tena wajukuu zangu
Ningekuwa reporter ningewafunga camera hao ili wazee waumbuke shenzi kabisa
Acha kabisa, mumama alikuwa anachanganyikiwa akiniona kijana enzi hizo niliyekuwa napangilia pamba vizuri suruali imenyooka hadi ile mstari wa pasi unaweza kukuchana ukinisogelea vibaya, kijana anashuka kwenye Toyota baloonIkawaje mkuu?
Maza alizimika na bwanga la suruali 😂
Hakuna cha bure Kudadadeki. Unataka utoke Vua Chupi Watu waweke kisha ndiyo Ufikiriwe hutaki Kaa na Ujuzi wako Kwenu.
Hakuna cha bure Kudadadeki. Unataka utoke Vua Chupi Watu waweke kisha ndiyo Ufikiriwe hutaki Kaa na Ujuzi wako Kwenu.
Fanya nikuletee sasaungeniletea wajameni
Hukuchangamkia fursa?Acha kabisa, mumama alikuwa anachanganyikiwa akiniona kijana enzi hizo niliyekuwa napangilia pamba vizuri suruali imenyooka hadi ile mstari wa pasi unaweza kukuchana ukinisogelea vibaya, kijana anashuka kwenye Toyota baloon
Alikuwa ananiambia "zungu mpenzi wangu,mbona unaniringia"
Hahahah! Nikikumbuka nafurahi sana,sijui sasa kama yuko hai au laa, ana wajukuu na vitukuu vingapi.