Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza afariki kwa kujinyonga baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake

Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza afariki kwa kujinyonga baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake

Sijui hata kipii kitakachofanya nitoe uhai wangu, yaan kuporwa cm ndo ujiue? Sisi wengine tumepitia masaibu na changamoto had watu wanauliza wee ni binadamu wa kawaida au?

Maana tumevuka silka ya u binadamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Rip mdogo wetu, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, Mark Njera amesema “Binti huyo mwenye umri wa miaka 15 alichukua uamuzi baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake waliyokuwa wakiigombania, baada ya kitendo hicho alikasirika na kwenda chumbani kwake akachukua kamba ya katani na kufunga kwenye kenchi kisha kujinyonga.”

Chanzo: AZAM TV
Kaka asibughudhiwe kwa kujiua mdogo wake kwa mkasa kama huo.
 
Kizazi cha 2000s kina balaa. Kumbe kujiua ni rahisi hivyo? Amechoka kula ugali kabisa!!

Au wanakuwa attacked na ibilisi?
nawe unaamini kuna ibilisi...🤣
 
Unapomlea mtoto unabidi kujua akifika katika Adolescent stage anakuwa anafanya mambo mengi bila kuwa logically

Hivyo lazima uwe makini katika kumlea kwa utulivu.

Hivyo hiyo hatua inahitaji ufahamu mzuri kuhusu mtoto
Na wa mbeya mtoto sijui darasa la 3 aliyejinyonga kisa hatak kwenda shule hata balehe hajafika je?
 
Kamuua au kampora simu??

Simu alitoa wapi??ya kazi gani form 1??anawasiliana na nani form 1??
Majibu ya maswali yako anayo marehemu.

Yeye alimpora cm, huenda njia iliyotumika sio sahihi.
 
Sijui hata kipii kitakachofanya nitoe uhai wangu, yaan kuporwa cm ndo ujiue? Sisi wengine tumepitia masaibu na changamoto had watu wanauliza wee ni binadamu wa kawaida au?

Maana tumevuka silka ya u binadamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Rip mdogo wetu, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tukikupora bendera ya upinde unajiua wewe😂😂
 
Unapomlea mtoto unabidi kujua akifika katika Adolescent stage anakuwa anafanya mambo mengi bila kuwa logically

Hivyo lazima uwe makini katika kumlea kwa utulivu.

Hivyo hiyo hatua inahitaji ufahamu mzuri kuhusu mtoto
Basi 99% wangeshajinyonga ..naamini shida ni malezi mabaya at the end imefikia stage mbaya so tunatakiwa kukemea tabia hz za mtoto kumiliki simu mapema
 
Majibu ya maswali yako anayo marehemu.

Yeye alimpora cm, huenda njia iliyotumika sio sahihi.
Weeee,tumeporwa remote na mabro enzi tuko form one,muda wa mieleka,na mechi tv zinazimwa na hatujawahi kujitilisha uruma hata.

Saa hii ndio tunajua kwa jinsi gani walikuwa real.
Hivi vitoto vilivyozijua mboo mapema,tena za watoto wenzao ni tatizo.
 
Kamuua au kampora simu??

Simu alitoa wapi??ya kazi gani form 1??anawasiliana na nani form 1??


Malezi yanahitaji kuisoma saikolojia ya mtoto zaidi na wala sio katika balehe tu waweza usielewe hili jambo ikiwa hauna ufahamu wa kutosha katika parenting stage.

Mfano kakuambia hataki shule ,wewe mzazi unakimbilia viboko hapo lazima mwisho wake utazua tatizo jipya na kubwa.
 
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, Mark Njera amesema “Binti huyo mwenye umri wa miaka 15 alichukua uamuzi baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake waliyokuwa wakiigombania, baada ya kitendo hicho alikasirika na kwenda chumbani kwake akachukua kamba ya katani na kufunga kwenye kenchi kisha kujinyonga.”

Chanzo: AZAM TV
Polen sana kwa Familia.
 
Back
Top Bottom