Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza afariki kwa kujinyonga baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake

Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza afariki kwa kujinyonga baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake

Sekondari waruhusiwe kutumia simu, hakuna sababu za msingi kuwazuia.
 
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, Mark Njera amesema “Binti huyo mwenye umri wa miaka 15 alichukua uamuzi baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake waliyokuwa wakiigombania, baada ya kitendo hicho alikasirika na kwenda chumbani kwake akachukua kamba ya katani na kufunga kwenye kenchi kisha kujinyonga.”

Chanzo: AZAM TV
Maamuzi ya mkwawa vijana wa sasa wapo na ujasiri sana!
 
Poleni sana wafiwa mtoto kumiliki simu, bado yuko skuli sheria za tz, haikubaliki iwe wakiume au wakike, ila kunakipidi nilitembelea zanzibar na kupata kuishi lkn nilivyokua nashangaa watoto wakule, kuanzia skuli za secondari wengi sana, wanamiliki simu hata skuli wanaenda nazo, nilishindwa kupeleleza kujua kwann inakua hivyo,..
 
Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, Mark Njera amesema “Binti huyo mwenye umri wa miaka 15 alichukua uamuzi baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake waliyokuwa wakiigombania, baada ya kitendo hicho alikasirika na kwenda chumbani kwake akachukua kamba ya katani na kufunga kwenye kenchi kisha kujinyonga.”

Chanzo: AZAM TV
BABA MUNGU TUNAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATUFUNDISHE KIROHO KUTUMIA SIMU ZA MKONONI KWA REHEMA ZAKO.

SIMU ZOTE ZIKAWE BARAKA NA SIYO LAANA.

AMINA 🙌
 
Simu tu jamani ndio ajinyonge sasa angekumbana na mabalaa mengine ya maisha angefanyaje.
 
Back
Top Bottom