cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ko wakurya wakiondokewa na ndugu hawaumii? Kheeeh haya mapyaa. LolAaah hapana labda huwajui wakurya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko wakurya wakiondokewa na ndugu hawaumii? Kheeeh haya mapyaa. LolAaah hapana labda huwajui wakurya.
Nipo kanisaniUna amua kunikejeli? Haya bhana sawaa!!
Mie nikitusua life, utafurahi mbona, em fanyaa bas nifurahie weekend!!
Seriously
Hakuuwa. alimponya simu.Kuua mdogo ake ndo alichopaswaa kufanyaa?
Maamuzi ya mkwawa vijana wa sasa wapo na ujasiri sana!Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake
Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, Mark Njera amesema “Binti huyo mwenye umri wa miaka 15 alichukua uamuzi baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake waliyokuwa wakiigombania, baada ya kitendo hicho alikasirika na kwenda chumbani kwake akachukua kamba ya katani na kufunga kwenye kenchi kisha kujinyonga.”
Chanzo: AZAM TV
Malezi malezi maleziWatoto wa zama hizi sijui wana shida gani.
Ukitoka kanisanii em ufanye jambo, nasubiri mwenzio.Nipo kanisani
Leo sitoki kanisani hadi kesho majaliwa maana mimi ndiye naaminiwa kuliko mtu yeyote. Pengine nitatoka kesho saa 12 jioniUkitoka kanisanii em ufanye jambo, nasubiri mwenzio.
Samahani uncle,ni kamarehemu. Kaandikie tu R.I.P katoto kazuriKapuuzi sana.
Sio wa Iringa kweli huyo 😊!
BABA MUNGU TUNAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATUFUNDISHE KIROHO KUTUMIA SIMU ZA MKONONI KWA REHEMA ZAKO.Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza aliyekuwa anasoma Shule ya Sekondari Sarungi, Wilayani Rorya amejinyonga kwa kamba ya katani chumbani kwake kwake baada ya kudaiwa kutokea mzozo na kaka yake
Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime, Mark Njera amesema “Binti huyo mwenye umri wa miaka 15 alichukua uamuzi baada ya kunyang’anywa simu na kaka yake waliyokuwa wakiigombania, baada ya kitendo hicho alikasirika na kwenda chumbani kwake akachukua kamba ya katani na kufunga kwenye kenchi kisha kujinyonga.”
Chanzo: AZAM TV
Na mara nyingi ni boda au waweka nyimbo na movie.Huyo kuli kua na kijamaa kinampagawisha naona kaka akaamua kuchukua simu ili kisome kwanza chenyewe kikaona kinanyimwa uhuru...RIP
Yeah ni kuwa control tu wasitumie madarasani.Sekondari waruhusiwe kutumia simu, hakuna sababu za msingi kuwazuia.