DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Weeee,tumeporwa remote na mabro enzi tuko form one,muda wa mieleka,na mechi tv zinazimwa na hatujawahi kujitilisha uruma hata.
Saa hii ndio tunajua kwa jinsi gani walikuwa real.
Hivi vitoto vilivyozijua mboo mapema,tena za watoto wenzao ni tatizo.
Wazazi wengi wana uwezo wa kumtuliza mtoto na sio kumrekebisha inasikitisha Sana .
Wamekariri njia moja ambayo hutoa matokeo kwa ubora wa chini (viboko,kpiga na kufoka).