DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Weeee,tumeporwa remote na mabro enzi tuko form one,muda wa mieleka,na mechi tv zinazimwa na hatujawahi kujitilisha uruma hata.
Saa hii ndio tunajua kwa jinsi gani walikuwa real.
Hivi vitoto vilivyozijua mboo mapema,tena za watoto wenzao ni tatizo.
Madhara ya movieAlijuaje akijifunga kamba shingoni anakufa?
Imagine mtoto wa 15 anakwambia hataki shule,na unaona kabisa gari ndio inawaka,muda wote yuko na simu.Malezi yanahitaji kuisoma saikolojia ya mtoto zaidi na wala sio katika balehe tu waweza usielewe hili jambo ikiwa hauna ufahamu wa kutosha katika parenting stage.
Mfano kakuambia hataki shule ,wewe mzazi unakimbilia viboko hapo lazima mwisho wake utazua tatizo jipya na kubwa.
cocastic na wewe ungefumwa nashera enzi hizo, ungejitia kitanzi. Imagine kwa sasa hata sponsor humkumbuki jina.Huyo kuli kua na kijamaa kinampagawisha naona kaka akaamua kuchukua simu ili kisome kwanza chenyewe kikaona kinanyimwa uhuru...RIP
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km ilishindikana pale ilipotangazwaa namiliki bendera hiyo, ndo nijiue mkiichukuaa?Tukikupora bendera ya upinde unajiua wewe[emoji23][emoji23]
Pengine alimpora kwa kumpiga na kumfokea? Je hapo?Kuna mahali ameshika kamba akamning'iniza? Narudia tena kusoma habari labda kuna mahali alimtamkia bora ufe.
Sasa mnajua wameshazijua mboo mapema, mnawasakama wa nn?Weeee,tumeporwa remote na mabro enzi tuko form one,muda wa mieleka,na mechi tv zinazimwa na hatujawahi kujitilisha uruma hata.
Saa hii ndio tunajua kwa jinsi gani walikuwa real.
Hivi vitoto vilivyozijua mboo mapema,tena za watoto wenzao ni tatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ya kufumwa nashera ni ndogo, kuna makubwaa nimepambana nayooo, jamaniii sina cha kufanya nijiue hapa duniani.cocastic na wewe ungefumwa nashera enzi hizo, ungejitia kitanzi. Imagine kwa sasa hata sponsor humkumbuki jina.
Imagine mtoto wa 15 anakwambia hataki shule,na unaona kabisa gari ndio inawaka,muda wote yuko na simu.
Hiki kipindi wengi wetu tungesikilizwa tulichokuwa tunakitaka sijui tungekuwa wapi saa hizi.
Hapo ukute hata simu haijulikani ilikotoka.hasikilizi mtu na wala shule haina maana tena kwake.
Safi sana! Ndiyo maana kila siku Nakuweka katika maombi. Usisahau kunitumia hela ya vocha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ya kufumwa nashera ni ndogo, kuna makubwaa nimepambana nayooo, jamaniii sina cha kufanya nijiue hapa duniani.
Hakunaaaaaa na hakipoooo.
Tena umeniwahiii, em fanyaa bas nitumie vocha kubwa nijimwaye mwayee weekend hiii.Safi sana! Ndiyo maana kila siku Nakuweka katika maombi. Usisahau kunitumia hela ya vocha
Umewahiwa nawe jiongeze kwanza ndipo ulete yakoTena umeniwahiii, em fanyaa bas nitumie vocha kubwa nijimwaye mwayee weekend hiii.
Fanya hivyo bas, nakutegemea ujue.!!
Una amua kunikejeli? Haya bhana sawaa!!Umewahiwa nawe jiongeze kwanza ndipo ulete yako
Aaah hapana labda huwajui wakurya.Sasa mnajua wameshazijua mboo mapema, mnawasakama wa nn?
C muwaache watajijua wenyewee baadae, sasa hapo kapata nn?
Naamini hata ndugu wanamgeuka huyo Kaka, na kumuona katili woiiih.
Huyo Kaka atajutia maisha yake yotee.