Mwanafunzi wa Upadri aliyejinyonga Tanga atazikwa kikristu?

Mwanafunzi wa Upadri aliyejinyonga Tanga atazikwa kikristu?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Huu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka.

Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya kujinyonga.

Swali langu, roman catholic kutokana na sababu za dogo kujinyonga zinaeleweka nae mtamzkka kikristo?

Raha ya milele uwapee ee bwana mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.

AMEN.

Pia soma: Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa
 
Kanisa limzike maiti, lisiingilie na kufanya majukumu ya mungu.
 
Labda kama hutoi michango ndo hutazikwa, ila ndururu kama unazipeleka madhabahuni tena zikiwa mingi hata askofu atakuja kukuzika
 
Huu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka.

Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya kujinyonga.

Swali langu, roman catholic kutokana na sababu za dogo kujinyonga zinaeleweka nae mtamzkka kikristo?

Raha ya milele uwapee ee bwana mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.

AMEN.

Pia soma: Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa
Mwanafunzi kama huyu angekuja kuwa padre wa aina gani? Anyway, apumzike anakostahili
 
Mwanafunzi kama huyu angekuja kuwa padre wa aina gani? Anyway, apumzike anakostahili
Hili Ni swali linalopelekea wengi wetu kujiuliza, lakini kama ukiisoma historia ya Mtume Paulo, unaweza kupata walau mang'amuzi kwamba hakuna lisilowezekana kwa Mungu.i.e. angeweza kuja kuwa ni padre wa kupigia mfano.
 
Huu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka.

Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya kujinyonga.

Swali langu, roman catholic kutokana na sababu za dogo kujinyonga zinaeleweka nae mtamzkka kikristo?

Raha ya milele uwapee ee bwana mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.

AMEN.

Pia soma: Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa
Kashaenda jehanam 🔥 😈 👿 🤘 😈 👿 🤘
 
Huu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka.

Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya kujinyonga.

Swali langu, roman catholic kutokana na sababu za dogo kujinyonga zinaeleweka nae mtamzkka kikristo?

Raha ya milele uwapee ee bwana mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.

AMEN.

Pia soma: Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa
Yeye (huyo dogo)ni Mkristo kwa Ubatizo. Kujinyonga hakuwezi kubatilisha Ukristo wake. (Ref. Katekisimu ya kanisa Katoliki. Ubatizo ni alama isiyofutika.....) Anastahili na ni Haki yake azikwe kama wanavyozikwa Wakristo Wakatoliki wengine.. Kwamba eti amejinyonga, amenaniliu etc,etc hayo atakwenda kumalizana na Muumba wake.
 
Yeye (huyo dogo)ni Mkristo kwa Ubatizo. Kujinyonga hakuwezi kubatilisha Ukristo wake. (Ref. Katekisimu ya kanisa Katoliki. Ubatizo ni alama isiyofutika.....) Anastahili na ni Haki yake azikwe kama wanavyozikwa Wakristo Wakatoliki wengine.. Kwamba eti amejinyonga, amenaniliu etc,etc hayo atakwenda kumalizana na Muumba wake.
MKUUUU KKKT UTAZIKA WEWE N NDUGU ZAKOOO YAAN HATA AKIJINYONGA FANYEN SIRI PELEKEN KANISANI

AKISHTULIWA MCH HAZIKI KAMWE...SIJAJUA VIGEZO ZAIDI KUMATAA KUMZIKA MPAKA SASA
 
MTOOTOO WA MIAKA SITAAA NAE KAJINYONGA LEO MWEZI WA KUNYONGANAAA MSIKAE KARIBU NA KAMBA HILI PEPO HALINA MSAMARIA MWEMA
 
15 may kajinyonga nae huyumama
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-153919_Lite.jpg
    Screenshot_20240522-153919_Lite.jpg
    491.2 KB · Views: 10
Back
Top Bottom