swali fkiirishiWanajinyonga kweli??au wananyongwa
Mwanafunzi kama huyu angekuja kuwa padre wa aina gani? Anyway, apumzike anakostahiliHuu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka.
Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya kujinyonga.
Swali langu, roman catholic kutokana na sababu za dogo kujinyonga zinaeleweka nae mtamzkka kikristo?
Raha ya milele uwapee ee bwana mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.
AMEN.
Pia soma: Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa
Hili Ni swali linalopelekea wengi wetu kujiuliza, lakini kama ukiisoma historia ya Mtume Paulo, unaweza kupata walau mang'amuzi kwamba hakuna lisilowezekana kwa Mungu.i.e. angeweza kuja kuwa ni padre wa kupigia mfano.Mwanafunzi kama huyu angekuja kuwa padre wa aina gani? Anyway, apumzike anakostahili
Ah bhana! Huyu shetani mambo mengine tunamsingizia tuu.Shetani kazini!
Mkuu; kujinyonga nayo ni njia mojawapo ya kuondoka hapa duniani kuelekea ahera kama zilivyo nyingine e.g. ugonjwa, ajali, kuuawa n.k. n.k.Balaa haya mambo ya kujinyonga.
Kashaenda jehanam π₯ π πΏ π€ π πΏ π€Huu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka.
Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya kujinyonga.
Swali langu, roman catholic kutokana na sababu za dogo kujinyonga zinaeleweka nae mtamzkka kikristo?
Raha ya milele uwapee ee bwana mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.
AMEN.
Pia soma: Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa
Yeye (huyo dogo)ni Mkristo kwa Ubatizo. Kujinyonga hakuwezi kubatilisha Ukristo wake. (Ref. Katekisimu ya kanisa Katoliki. Ubatizo ni alama isiyofutika.....) Anastahili na ni Haki yake azikwe kama wanavyozikwa Wakristo Wakatoliki wengine.. Kwamba eti amejinyonga, amenaniliu etc,etc hayo atakwenda kumalizana na Muumba wake.Huu mwezi wa majanga ya kujinyonga tu, kaanza Askofu, kafata mwanafunzi akisomea upadre amebaki masister nao mjihadhari na hii roho mtaumbuka.
Nimeona huyu askofu amezikwa kikristo baada ya kujinyonga.
Swali langu, roman catholic kutokana na sababu za dogo kujinyonga zinaeleweka nae mtamzkka kikristo?
Raha ya milele uwapee ee bwana mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.
AMEN.
Pia soma: Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa
Wananyongwa na kambaWanajinyonga kweli??au wananyongwa
Nani kasema hiyo tena aisee? Imeandikwa; Usihukumu ili nawe usije ukahukumiwa. (Math.7: 1-2)Kashaenda jehanam π₯ π πΏ π€ π πΏ π€
Hiyo kamba inakuwaje mkuu? Ni nani mwezeshaji?Wananyongwa na kamba
MKUUUU KKKT UTAZIKA WEWE N NDUGU ZAKOOO YAAN HATA AKIJINYONGA FANYEN SIRI PELEKEN KANISANIYeye (huyo dogo)ni Mkristo kwa Ubatizo. Kujinyonga hakuwezi kubatilisha Ukristo wake. (Ref. Katekisimu ya kanisa Katoliki. Ubatizo ni alama isiyofutika.....) Anastahili na ni Haki yake azikwe kama wanavyozikwa Wakristo Wakatoliki wengine.. Kwamba eti amejinyonga, amenaniliu etc,etc hayo atakwenda kumalizana na Muumba wake.