Inakuwa na kitanzi kisha shingo inaingia na kunyongwaHiyo kamba inakuwaje mkuu? Ni nani mwezeshaji?
Siyo tu inakataza kutoa uhai bali pia inakataza usijitoe uhai.Nauliza hivi kwenye zile sheria kumi za Mungu kuna inayokataza kujitoa uhai?
Simamia taarifa uliyopo...kajinyonga1. Kwani unauhakika kwamba alichosema ndo ukweli? Taja source.
2. Mkuu, mbona umesahau kwamba lipo neno la Toba? Hakuna dhambi isiyosamehewa (Luke 12: 10)
Mkuu,Simamia taarifa uliyopo...kajinyonga
Hakuna msamaha wa dhambi baada ya kufa. Dhambi zote zinasamehewa ukitubu kwa kumaanisha ukiwa hai. Ni kama mtu afe akiwa anazini, au afe akiwa anaiba.
Dah inasikitisha29 April yussuph miaka 13 ajinyonga