Anna Leonard
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 219
- 118
Mkuu hapo umetudanganya mchana kweupe,jibu ni tisa..unaanza kufungua mabano kwa kupata jb 3 ndyo unakuja nje na kupata 3 pia then unazidisha kisha wapata jb 9 this is answer mkuuJibu ni 1, anza kwenye mabano 2+1=3, then itakua ni 6÷2(3) [huwezi kugawanya 6÷2 kwanza wakati kuna mabano] fungua mabano kwa 2×3=6 baadae Maliza na kugawanya 6÷6=1.