Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,841
- 4,797
Hapo mpaka ujue ujazo nene baadaee ndio utafute uzito wake baada ya kupata tungamoSWALI HESABU;;;
Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mpaka ujue ujazo nene baadaee ndio utafute uzito wake baada ya kupata tungamoSWALI HESABU;;;
Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?
unyevu uliopo kwenye hewa hugandishwa na ubaridi wa kikombe na kutengeneza maji ambayo huganda juu ya kikombe kama matone madogo ya maji.Ni kwa nini ukiweka maji ya baridi kwenye glass au kikombe cha bati baada ya muda unakuta glass/kikombe kina maji kwa nje na wakati hakuna matundu?
Sasa naomba ujibu kisayansi tena kwa kiingereza kama mwanafunzi wa form six anayejibu swali hili kwenye mtihani wake wa mwisho wa physics wa kitaifa wa form sixunyevu uliopo kwenye hewa hugandishwa na ubaridi wa kikombe na kutengeneza maji ambayo huganda juu ya kikombe kama matone madogo ya maji.
mkuu mbona wewe huajauliza swali kwa kiingereza kama mwanafunzi wa form six anavyojibu kwa kiingereza? haya mkuu, kiingereza chake ni kama ifuatavyo: The cup is cooled by cold water in it. As the warm, moist air moves around the cup, the moisture in the air is condensed by the cold cup, forming tiny water droplets which stick on the wall of the cup.Sasa naomba ujibu kisayansi tena kwa kiingereza kama mwanafunzi wa form six anayejibu swali hili kwenye mtihani wake wa mwisho wa physics wa kitaifa wa form six
thank u too...you are soo scientific, I'll name you tungamomkuu mbona wewe huajauliza swali kwa kiingereza kama mwanafunzi wa form six anavyojibu kwa kiingereza? haya mkuu, kiingereza chake ni kama ifuatavyo: The cup is cooled by cold water in it. As the warm, moist air moves around the cup, the moisture in the air is condensed by the cold cup, forming tiny water droplets which stick on the wall of the cup. These drops accumulate gradually to form substantial water drops which may be seen trickling off the cup surface. For more O-level revisions and exercises in various subjects, please use your tiGO simcard to send the word MAKINI to 15397 and register for the MAKINI SMS. Thank you.
Jipu 1Mkuu Ukijumlisha ndani ya mabano ndo tayari umeshafungua mabano halafu inabaki kuzidisha na kugawanya sasa hapo lazima uanze na kugawanya ambayo iko hv
6/2(1+2)= 6/2*3=3*3=9
onyesha 1 inavyokujaJipu 1
we uko sawa na mimi ila naona kama umekosea kugawanya badala ya kuzidishaKutokana na formula ya BODMAS unaanza mabano .. (1+2)
Halafu unakuja gawanya (6/2)
Unapata
3/3=1
Na. Kumbuka ile mbili ipo nje ya mabano na sio ndani kwahiyo lazima uigawanye kwanza
Wapiwe uko sawa na mimi ila naona kama umekosea kugawanya badala ya kuzidisha
6/2(1+2)= 6/2*(1+2)= 3*3=9
kwanini ugawanye 3/3 na wakati unatakiwa kuzidisha?Wapi
"WHAT ARE TYPES OF LANGUAGE COMPETENCE....?"Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Hey guys i wanna read the novel ambayo inamikasa kibao ndan yake like tears en blood en etc so Plz any anayefaham novel nyingn nahitaj msaad plz
Hey guys i wanna read the novel ambayo inamikasa kibao ndan yake like tears en blood en etc so Plz any anayefaham novel nyingn nahitaj msaad plz
"I'd rather stay poor" kaitafut iy novel nafikir itakua suitable 4 u coz it has many events en actionsHey guys i wanna read the novel ambayo inamikasa kibao ndan yake like tears en blood en etc so Plz any anayefaham novel nyingn nahitaj msaad plz