Haiku
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,915
- 2,050
😂Elimu bure ni shida kweli! Sasa umeandika nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Elimu bure ni shida kweli! Sasa umeandika nini?
Uandishi mwingine bwana, unasema kuwa wote wamefariki halafu unasema hakuna anayejua kama mwenzake kafariki. Toka lini maiti akawa na ufahamu?Salaam Wakuu,
View attachment 1677753
John Dotto na Mwanahabari Raphael Waryana mwenye fulana ya blue. Wamepoteza Uhai. Waryana aliyekuwa mtumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni na kiongozi mwandamizi wa timu ya KMC. Alikuwa mwanahabari wa Radio one akiripoti zaidi vipindi vya Nipashe na Mambo Mseto.
Wawili hawa na Marafiki, Wote wawili wamefariki Muhimbili jijini Dar Es Salaam na wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.
Dotto alikuwa Mwandishi, Mjasiriamali na Mwanasiasa
Wapumzike mahali pema. Amen!
====
KIONGOZI MWANDAMIZI WA KMC FC AFARIKI DUNIA
Kiongozi Mwandamizi wa Timu ya KMC FC ndugu, Raphael Waryana amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi
Ndugu Waryana atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ambao alikuwa akiutoa katika Timu ya KMC FC ikiwa ni pamoja na ushirikiano wake katika kipindi ambacho Timu ilipokuwa ikitimiza majukumu yake.
Aidha uongozi umeshtushwa na taarifa hiyo na kuahidi kuendelea kuuenzi mchango wake mkubwa aliokuwa anautoa kwa Timu wakati wa uhai wake.
Uongozi unatoa pole kwa familia yake, mashabiki wa Timu ya KMC FC na Umma wa wanamichezo na kuwaomba wawe na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza mpendwa wetu.
Imetolewa na Christina Mwagala
Afisa Habari na Mahusiano wa Timu ya KMC FC
Kufa sawa ila kuzikana itawezekana vipi?Ukisikia marafiki wa kufa na kuzikana, ndio hawa sasa. R.I.P
wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.
Koyu keza mbochi = yuko zake chimbonini hii maana yake
asante
Mtu anakufa na bado anasikiliza nani kaja kwenye msiba wake?
Ushaambiwa wanahabari ,marafiki halafu uanauliza nini akili zakuambiwa changanya na za kwakoNini zaidi?
Au kwa wanaotaka kuchangia/kutunisha mfuko.Hiyo $100 wanapima kwa wanaotaka kusafiri
Nje ya nchi
Ova