Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Sasa wakati wa upimaji nilikuwa nayo kabla sijasafiri nitatengwa ili niasiambukize wengine?Hiyo $100 wanapima kwa wanaotaka kusafiri
Nje ya nchi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wakati wa upimaji nilikuwa nayo kabla sijasafiri nitatengwa ili niasiambukize wengine?Hiyo $100 wanapima kwa wanaotaka kusafiri
Nje ya nchi
Ova
Na wewe piaWalale salama
Na wewe pia
Mi bado nipo nipo SANAKila mtu atalala muda wake ukifika
Wewe umeshapewa notice ya kulala lini?
Atajua kwa kuambiwa kabla hajafariki. Lakini bahati mbaya wamefariki wote kabla ya kila mmoja kupelekewa taarifa ya kifo cha rafikie.Asa kama wote wamefariki, watajuaje kama mwenzie kafariki?
Haya muda wako ukifika nawe ukalale kwa amaniMi bado nipo nipo SANA
Umesikia wapi?nasikia wameamriwa kila kipimo to read negative! Hivyo forget about positive results!
Chadema wana kiwanda cha uongo - Jakaya Mrisho KikweteUmesikia wapi?
hata wewe unayeandika huwezi kujijua kama ushafariki kitambo ama bado unaishina wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.
maaja koli keza mbochi nalilaku shaima kuhu tuwa nawafakuNasikia koyu keza mbochi
Twende mahakamaniLete ushahidi
Corona ipo .Salaam Wakuu,
View attachment 1677753
John Dotto na Mwanahabari Raphael Waryana mwenye fulana ya blue. Wamepoteza Uhai. Waryana aliyekuwa mtumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni na kiongozi mwandamizi wa timu ya KMC. Alikuwa mwanahabari wa Radio one akiripoti zaidi vipindi vya Nipashe na Mambo Mseto.
Wawili hawa na Marafiki, Wote wawili wamefariki Muhimbili jijini Dar Es Salaam na wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.
Dotto alikuwa Mwandishi, Mjasiriamali na Mwanasiasa
Wapumzike mahali pema. Amen!
====
KIONGOZI MWANDAMIZI WA KMC FC AFARIKI DUNIA
Kiongozi Mwandamizi wa Timu ya KMC FC ndugu, Raphael Waryana amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi
Ndugu Waryana atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ambao alikuwa akiutoa katika Timu ya KMC FC ikiwa ni pamoja na ushirikiano wake katika kipindi ambacho Timu ilipokuwa ikitimiza majukumu yake.
Aidha uongozi umeshtushwa na taarifa hiyo na kuahidi kuendelea kuuenzi mchango wake mkubwa aliokuwa anautoa kwa Timu wakati wa uhai wake.
Uongozi unatoa pole kwa familia yake, mashabiki wa Timu ya KMC FC na Umma wa wanamichezo na kuwaomba wawe na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza mpendwa wetu.
Imetolewa na Christina Mwagala
Afisa Habari na Mahusiano wa Timu ya KMC FC
Corona ipo, mlevi anajisemea !Salaam Wakuu,
View attachment 1677753
John Dotto na Mwanahabari Raphael Waryana mwenye fulana ya blue. Wamepoteza Uhai. Waryana aliyekuwa mtumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni na kiongozi mwandamizi wa timu ya KMC. Alikuwa mwanahabari wa Radio one akiripoti zaidi vipindi vya Nipashe na Mambo Mseto.
Wawili hawa na Marafiki, Wote wawili wamefariki Muhimbili jijini Dar Es Salaam na wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.
Dotto alikuwa Mwandishi, Mjasiriamali na Mwanasiasa
Wapumzike mahali pema. Amen!
====
KIONGOZI MWANDAMIZI WA KMC FC AFARIKI DUNIA
Kiongozi Mwandamizi wa Timu ya KMC FC ndugu, Raphael Waryana amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi
Ndugu Waryana atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ambao alikuwa akiutoa katika Timu ya KMC FC ikiwa ni pamoja na ushirikiano wake katika kipindi ambacho Timu ilipokuwa ikitimiza majukumu yake.
Aidha uongozi umeshtushwa na taarifa hiyo na kuahidi kuendelea kuuenzi mchango wake mkubwa aliokuwa anautoa kwa Timu wakati wa uhai wake.
Uongozi unatoa pole kwa familia yake, mashabiki wa Timu ya KMC FC na Umma wa wanamichezo na kuwaomba wawe na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza mpendwa wetu.
Imetolewa na Christina Mwagala
Afisa Habari na Mahusiano wa Timu ya KMC FC
Sawasawa................Tuendelee Kula malimau na machungwa kwa wingi,
Sukutua na maji chumvi mara kwa mara,
Piga zoezi ukiweza,
Kunywa chai ya Tengawizi mara kwa mara,
Tumia vidonge vya vitamin C Kuimarisha kinga,
Turejee kanuni za mwanzoni kunawa mara kwa mara,
Matumizi ya Sanitizer na barakoa inapobidi,
Turejee nyuzi za waliopona Covid kupitia matibabu waliyoshauriwa na wataalamu / antibiotics zinazopendekezwa
ni muhimu kuwa nazo nyakati hizi .
Tuepuke mikusanyiko pale inapobidi sio kutwa umesongamana angalau ukishuka kwenye usafiri wa Umma ukajitenge home kwako kuliko kwenda kwenye vigenge na mabaa, mikusanyiko isiyoyalazima tunaweza ipunguza wenyewe...
Bahati wote ni Wakristo kwahiyo watakutanaNoma sana, hapa kila mmoja atakuwa anasikilizia mbona jamaa yangu haji kwenye msiba wangu?
Kumbe jamaa naye anasikilizia hivyo hivyo.
Covid ipo asee, inaondoka na mabonge nyanya.Tuendelee Kula malimau na machungwa kwa wingi,
Sukutua na maji chumvi mara kwa mara,
Piga zoezi ukiweza,
Kunywa chai ya Tengawizi mara kwa mara,
Tumia vidonge vya vitamin C Kuimarisha kinga,
Turejee kanuni za mwanzoni kunawa mara kwa mara,
Matumizi ya Sanitizer na barakoa inapobidi,
Turejee nyuzi za waliopona Covid kupitia matibabu waliyoshauriwa na wataalamu / antibiotics zinazopendekezwa
ni muhimu kuwa nazo nyakati hizi .
Tuepuke mikusanyiko pale inapobidi sio kutwa umesongamana angalau ukishuka kwenye usafiri wa Umma ukajitenge home kwako kuliko kwenda kwenye vigenge na mabaa, mikusanyiko isiyoyalazima tunaweza ipunguza wenyewe...