TANZIA Mwanahabari Raphael Waryana na Rafikiye John Dotto wafariki Dunia Muhimbili

TANZIA Mwanahabari Raphael Waryana na Rafikiye John Dotto wafariki Dunia Muhimbili

Halafu Unasikia mtu amenyanyuka anasema Tanzania ni Salama mbele ya Jukwaa la maelfu ya watu ni bora kukaa kimya.
 
Tuendelee Kula malimau na machungwa kwa wingi,
Sukutua na maji chumvi mara kwa mara,
Piga zoezi ukiweza,
Kunywa chai ya Tengawizi mara kwa mara,
Tumia vidonge vya vitamin C Kuimarisha kinga,
Turejee kanuni za mwanzoni kunawa mara kwa mara,
Matumizi ya Sanitizer na barakoa inapobidi,
Turejee nyuzi za waliopona Covid kupitia matibabu waliyoshauriwa na wataalamu / antibiotics zinazopendekezwa
ni muhimu kuwa nazo nyakati hizi .
Tuepuke mikusanyiko pale inapobidi sio kutwa umesongamana angalau ukishuka kwenye usafiri wa Umma ukajitenge home kwako kuliko kwenda kwenye vigenge na mabaa, mikusanyiko isiyoyalazima tunaweza ipunguza wenyewe...
 
Asa kama wote wamefariki, watajuaje kama mwenzie kafariki?
Atajua kwa kuambiwa kabla hajafariki. Lakini bahati mbaya wamefariki wote kabla ya kila mmoja kupelekewa taarifa ya kifo cha rafikie.
 
Kwani hitilafu ya upumuaji bado inaendelea tu?
 
Salaam Wakuu,
View attachment 1677753
John Dotto na Mwanahabari Raphael Waryana mwenye fulana ya blue. Wamepoteza Uhai. Waryana aliyekuwa mtumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni na kiongozi mwandamizi wa timu ya KMC. Alikuwa mwanahabari wa Radio one akiripoti zaidi vipindi vya Nipashe na Mambo Mseto.

Wawili hawa na Marafiki, Wote wawili wamefariki Muhimbili jijini Dar Es Salaam na wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.

Dotto alikuwa Mwandishi, Mjasiriamali na Mwanasiasa

Wapumzike mahali pema. Amen!

====

KIONGOZI MWANDAMIZI WA KMC FC AFARIKI DUNIA

Kiongozi Mwandamizi wa Timu ya KMC FC ndugu, Raphael Waryana amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi

Ndugu Waryana atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ambao alikuwa akiutoa katika Timu ya KMC FC ikiwa ni pamoja na ushirikiano wake katika kipindi ambacho Timu ilipokuwa ikitimiza majukumu yake.

Aidha uongozi umeshtushwa na taarifa hiyo na kuahidi kuendelea kuuenzi mchango wake mkubwa aliokuwa anautoa kwa Timu wakati wa uhai wake.

Uongozi unatoa pole kwa familia yake, mashabiki wa Timu ya KMC FC na Umma wa wanamichezo na kuwaomba wawe na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza mpendwa wetu.

Imetolewa na Christina Mwagala
Afisa Habari na Mahusiano wa Timu ya KMC FC
Corona ipo .
Salaam Wakuu,
View attachment 1677753
John Dotto na Mwanahabari Raphael Waryana mwenye fulana ya blue. Wamepoteza Uhai. Waryana aliyekuwa mtumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni na kiongozi mwandamizi wa timu ya KMC. Alikuwa mwanahabari wa Radio one akiripoti zaidi vipindi vya Nipashe na Mambo Mseto.

Wawili hawa na Marafiki, Wote wawili wamefariki Muhimbili jijini Dar Es Salaam na wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.

Dotto alikuwa Mwandishi, Mjasiriamali na Mwanasiasa

Wapumzike mahali pema. Amen!

====

KIONGOZI MWANDAMIZI WA KMC FC AFARIKI DUNIA

Kiongozi Mwandamizi wa Timu ya KMC FC ndugu, Raphael Waryana amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi

Ndugu Waryana atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa ambao alikuwa akiutoa katika Timu ya KMC FC ikiwa ni pamoja na ushirikiano wake katika kipindi ambacho Timu ilipokuwa ikitimiza majukumu yake.

Aidha uongozi umeshtushwa na taarifa hiyo na kuahidi kuendelea kuuenzi mchango wake mkubwa aliokuwa anautoa kwa Timu wakati wa uhai wake.

Uongozi unatoa pole kwa familia yake, mashabiki wa Timu ya KMC FC na Umma wa wanamichezo na kuwaomba wawe na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza mpendwa wetu.

Imetolewa na Christina Mwagala
Afisa Habari na Mahusiano wa Timu ya KMC FC
Corona ipo, mlevi anajisemea !
 
Tuendelee Kula malimau na machungwa kwa wingi,
Sukutua na maji chumvi mara kwa mara,
Piga zoezi ukiweza,
Kunywa chai ya Tengawizi mara kwa mara,
Tumia vidonge vya vitamin C Kuimarisha kinga,
Turejee kanuni za mwanzoni kunawa mara kwa mara,
Matumizi ya Sanitizer na barakoa inapobidi,
Turejee nyuzi za waliopona Covid kupitia matibabu waliyoshauriwa na wataalamu / antibiotics zinazopendekezwa
ni muhimu kuwa nazo nyakati hizi .
Tuepuke mikusanyiko pale inapobidi sio kutwa umesongamana angalau ukishuka kwenye usafiri wa Umma ukajitenge home kwako kuliko kwenda kwenye vigenge na mabaa, mikusanyiko isiyoyalazima tunaweza ipunguza wenyewe...
Sawasawa................
 
Tuendelee Kula malimau na machungwa kwa wingi,
Sukutua na maji chumvi mara kwa mara,
Piga zoezi ukiweza,
Kunywa chai ya Tengawizi mara kwa mara,
Tumia vidonge vya vitamin C Kuimarisha kinga,
Turejee kanuni za mwanzoni kunawa mara kwa mara,
Matumizi ya Sanitizer na barakoa inapobidi,
Turejee nyuzi za waliopona Covid kupitia matibabu waliyoshauriwa na wataalamu / antibiotics zinazopendekezwa
ni muhimu kuwa nazo nyakati hizi .
Tuepuke mikusanyiko pale inapobidi sio kutwa umesongamana angalau ukishuka kwenye usafiri wa Umma ukajitenge home kwako kuliko kwenda kwenye vigenge na mabaa, mikusanyiko isiyoyalazima tunaweza ipunguza wenyewe...
Covid ipo asee, inaondoka na mabonge nyanya.
 
Back
Top Bottom