Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifo ni vingi sana sasahiviGogoki2014 hajasema chochote kuhusu hivi vifo? Kuanzia Dec 2020 ,Kumekuwa na idadi kubwa sana ya vifo vya ghafla.
Siku hizi nachelewa kuelewa!Wawili hawa na Marafiki, Wote wawili wamefariki Muhimbili jijini Dar Es Salaam na wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki.
Lakini maandiko hayo ni kama yanasapoti alichoandika braza, ni kama vile umemuongezea silaha ya kutetea alichoandikaBrazaaaaaa, hakuna anayejua mwenzie kafariki? Aiseee.. Mhubiri 9:5
Nasikia koyu keza mbochiIsije kuwa matatizo ya kupumua... RIP , chukua tahadhali kila mmoja wetu. Mwenyewe kajificha huko vchakani, sisis tunaambiwa tuombe! Sky Eclat
nini hii maana yakekoyu keza mbochi
Vifo ni vingi sana sasahivi
nini hii maana yake
Yuko zake chimbonini hii maana yake
anajua kuwa ana pre disposing conditions ambazo zinamfanya awe easily vulnerable to attack by the virus!Yuko zake chimbo
Hiyo bwana ametoa, bwana ametwa imekaa kidinidini. RIP iko general.Nje ya mada kidogo...
Hivi RIP mbona imekuwa na nguvu kuliko hata Bwana ametoa Bwana ametwaa ambayo ndiyo sahihi kabisa kwenye mafundisho
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hiyo $100 wanapima kwa wanaotaka kusafiriNiliuliza sijapata jibu, kama ninatumia US$100 kupima COVID, nikikutwa Niko positive nitahudumiwa hospitali kama mgonjwa wa COVID?
Covid 19 ipo na inaua sana!