TANZIA Mwanahabari Raphael Waryana na Rafikiye John Dotto wafariki Dunia Muhimbili

Pole kwa wafiwa, ila mtoa taarifa ameandika kihuni sana, eti "wawili hawa hakuna anaejua kama mwenzake amefariki."
 
Uandishi mwingine bwana, unasema kuwa wote wamefariki halafu unasema hakuna anayejua kama mwenzake kafariki. Toka lini maiti akawa na ufahamu?

Mhubiri 9:5​

Maana, walio hai hujua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote. Hawana tuzo tena; hata kumbukumbu lao limesahauliwa kabisa.
 
Kuna mmoja hapo namdai,,ila namtakia Rip,,japo alinikwazaga sana back then,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…