Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu ganiAlianza kupotea baada ya zile tetesi kuwa jamaa mtoto wa watu
Ile list ya konki....🤣Watu gani
Weka picha yake tumuone classmate wakoIle list ya konki....[emoji1787]
Ile ya marangi rangi fc?Ile list ya konki....🤣
Ongeza nyama kidogoWaligundulika ni watoto wa inzi wakajikunyata
By the way.. Vitu kama hivi kwa dar au dodoma vinapatikana?Sam mahela alikwenda TBC, mara akawa TCRA akirusha kipindi chao cha maudhui.
unataka kusea nimechanganya kati ya sam mahela na ben mwanantala?By the way.. Vitu kama hivi kwa dar au dodoma vinapatikana?View attachment 3150247
Alivimba kichwa akajipeleka TBCCM akakaa pale kwa muda halafu wakamtupa sijui walimtupia wapi jamaa yule aisee!Ni Mmoja wa wanahabari waliowai kunivutia sana kipindi anaripoti ITV, alikuwa na mbwembwe sana hasa kipindi cha uchaguzi.
Ningependa kujua alipo kwa sasa maana amepotea kabisa kwenye medani za habari!