Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kivipialishatwaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipialishatwaliwa
George Marato alioa sasa akawa hawajui ndugu wa mke wake wote siku moja mdogo wa kiume wa mke wake kaenda kwake bila taarifa mwamba akamkuta akajua ni mchepuko wa wife wake alimpiga sana mabapa ya mapanga shemeji yake akaja kuujua ukweli baada ya kutembeza sana kichapoKwan George Marato yuko wapi muda mrefu sijamsikia
alishatwaliwa na siasa, ni mwanasiasa wa chama fulani cha siasa huko MaraKivipi
Duh story inataka kufanana na yule dada wa itv ufoo saloGeorge Marato alioa sasa akawa hawajui ndugu wa mke wake wote siku moja mdogo wa kiume wa mke wake kaenda kwake bila taarifa mwamba akamkuta akajua ni mchepuko wa wife wake alimpiga sana mabapa ya mapanga shemeji yake akaja kuujua ukweli baada ya kutembeza sana kichapo
Dunia inamamboDuh story inataka kufanana na yule dada wa itv ufoo salo
Yupo ITV habari zake kituo Mkoa wa Mara mkoani Geita kwani vipi Mzee?Kwan George Marato yuko wapi muda mrefu sijamsikia
Hii ni simulizi mpya mboni bado anatangaza ITV?George Marato alioa sasa akawa hawajui ndugu wa mke wake wote siku moja mdogo wa kiume wa mke wake kaenda kwake bila taarifa mwamba akamkuta akajua ni mchepuko wa wife wake alimpiga sana mabapa ya mapanga shemeji yake akaja kuujua ukweli baada ya kutembeza sana kichapo
Hivi habari za watu kukulana mikund u huwa mnazijulia wapi?Ipo video moja YouTube ilikuwa inauli swali hilo hilo,kwa nini Sam Mahela amepotea miaka saba.
Halafu walimwita "shoga" or something.
Mboni yupo ITV juzi ametangazaalishatwaliwa
Mapungufu ni mengi sanaHivi habari za watu kukulana mikund u huwa mnazijulia wapi?
Nikiona mtu anatamka hii kitu nahisi harufubya mavy
Bado ni presenter wa ITV mpaka leo hio miaka 7 vipi?Ipo video moja YouTube ilikuwa inauli swali hilo hilo,kwa nini Sam Mahela amepotea miaka saba.
Halafu walimwita "shoga" or something.
Huyu hapa TBC pia yupo
siasa ameacha?Mboni yupo ITV juzi ametangaza
By the way.. Vitu kama hivi kwa dar au dodoma vinapatikana?View attachment 3150247
Sawa, ila ni chakla (LGBT) ya watu hata kama anaendesha vipindi ITV.Bado ni presenter wa ITV mpaka leo hio miaka 7 vipi?View attachment 3160727
Aiseeee mbona jamaa kakaa kistrong sana? Au RUMAZI tu wanamchafua?Sawa, ila ni chakla (LGBT) ya watu hata kama anaendesha vipindi ITV.
Hata sambusa ina nyama lakini watu wanaila tu, usishangae hiyo strength ya Sam MahelaAiseeee mbona jamaa kakaa kistrong sana? Au RUMAZI tu wanamchafua?
Kwa huyo Sam ,nitakuwa wa mwisho kuamini.Hata sambusa ina nyama lakini watu wanaila tu, usishangae hiyo strength ya Sam Mahela