Mwanahabari Sam Mahela alikwenda wapi na anafanya nini kwa sasa?

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Ni Mmoja wa wanahabari waliowai kunivutia sana kipindi anaripoti ITV, alikuwa na mbwembwe sana hasa kipindi cha uchaguzi.

Ningependa kujua alipo kwa sasa maana amepotea kabisa kwenye medani za habari!
 
Ni Mmoja wa wanahabari waliowai kunivutia sana kipindi anaripoti ITV, alikuwa na mbwembwe sana hasa kipindi cha uchaguzi.

Ningependa kujua alipo kwa sasa maana amepotea kabisa kwenye medani za habari!
Alivimba kichwa akajipeleka TBCCM akakaa pale kwa muda halafu wakamtupa sijui walimtupia wapi jamaa yule aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…