Mwanahabari Sam Mahela alikwenda wapi na anafanya nini kwa sasa?

Ni Mmoja wa wanahabari waliowai kunivutia sana kipindi anaripoti ITV, alikuwa na mbwembwe sana hasa kipindi cha uchaguzi.

Ningependa kujua alipo kwa sasa maana amepotea kabisa kwenye medani za habari!
oh maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…