Imekuwa ni kawaida ya chadema kuungana na mabeberu na kuanza kuombea mabaya nchi yetu. Pamoja na maombezi yao hayo bado laana ipo upande wa chadema tangu kutoka rais Magufuli aingie madarakani miaka minne iliyopita.
Kila wakiombea uchumi ushuke ndiyo kwanza unapanda.
Kila wakiombea tushitakiwe MIGA ndiyo kwanza Barrick wanakuja kusaini mikataba mipya yenye manufaa kwa watanzania wote.
Kila wakisingizia serikali ya Magufuli ina fanya mauaji ndiyo kwanza Saed Kubenea anawaumbua kwenye magazeti yake kwamba Ben Saanane anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa mitaa ya UFIPA.
View attachment 1344165View attachment 1344166
Sent using
Jamii Forums mobile app