MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

Imekuwa ni kawaida ya chadema kuungana na mabeberu na kuanza kuombea mabaya nchi yetu. Pamoja na maombezi yao hayo bado laana ipo upande wa chadema tangu kutoka rais Magufuli aingie madarakani miaka minne iliyopita.

Kila wakiombea uchumi ushuke ndiyo kwanza unapanda.

Kila wakiombea tushitakiwe MIGA ndiyo kwanza Barrick wanakuja kusaini mikataba mipya yenye manufaa kwa watanzania wote.

Kila wakisingizia serikali ya Magufuli ina fanya mauaji ndiyo kwanza Saed Kubenea anawaumbua kwenye magazeti yake kwamba Ben Saanane anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa mitaa ya UFIPA.View attachment 1344165View attachment 1344166

Sent using Jamii Forums mobile app
Alichofanya KANGI LUGOLA wa chama Cha CCM kufanya ufisadi na wizi kupitia mikataba feki ni ushahidi tosha kwamba CCM wanafurahia matendo hayo ya kishetani
 
Imekuwa ni kawaida ya chadema kuungana na mabeberu na kuanza kuombea mabaya nchi yetu. Pamoja na maombezi yao hayo bado laana ipo upande wa chadema tangu kutoka rais Magufuli aingie madarakani miaka minne iliyopita.

Kila wakiombea uchumi ushuke ndiyo kwanza unapanda.

Kila wakiombea tushitakiwe MIGA ndiyo kwanza Barrick wanakuja kusaini mikataba mipya yenye manufaa kwa watanzania wote.

Kila wakisingizia serikali ya Magufuli ina fanya mauaji ndiyo kwanza Saed Kubenea anawaumbua kwenye magazeti yake kwamba Ben Saanane anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa mitaa ya UFIPA.View attachment 1344165View attachment 1344166

Sent using Jamii Forums mobile app
.
IMG_20200202_121204.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitaendelea kutumika kama ushahidi siku zote ,na kama mna mabavu mmfukuze Saed Kubenea chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi wa kuchaguliwa na watu kwa kumbe kura tena karne ya 21 kisha HSKUBALI KUSHAURIWA? WAZIMU HUO. huyo hafai hata kama anajenga mabarabara ya ajabu. Tunahitaji KIONGOZI sio Mtawala.tulishatawaliwa na wakoloni sasa ni wakati wa kuongozwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekuwa ni kawaida ya chadema kuungana na mabeberu na kuanza kuombea mabaya nchi yetu. Pamoja na maombezi yao hayo bado laana ipo upande wa chadema tangu kutoka rais Magufuli aingie madarakani miaka minne iliyopita.

Kila wakiombea uchumi ushuke ndiyo kwanza unapanda.

Kila wakiombea tushitakiwe MIGA ndiyo kwanza Barrick wanakuja kusaini mikataba mipya yenye manufaa kwa watanzania wote.

Kila wakisingizia serikali ya Magufuli ina fanya mauaji ndiyo kwanza Saed Kubenea anawaumbua kwenye magazeti yake kwamba Ben Saanane anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa mitaa ya UFIPA.View attachment 1344165View attachment 1344166

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakata viuno sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jukumu walilopewa la vitambulisho limewashinda sasa kumbe wako bize kukata viuno.
 
Sijaelewa kitu. Unataka kuongea nini katika hii ishu ya Bashite kupigwa ban?
Imekuwa ni kawaida ya chadema kuungana na mabeberu na kuanza kuombea mabaya nchi yetu. Pamoja na maombezi yao hayo bado laana ipo upande wa chadema tangu kutoka rais Magufuli aingie madarakani miaka minne iliyopita.

Kila wakiombea uchumi ushuke ndiyo kwanza unapanda.

Kila wakiombea tushitakiwe MIGA ndiyo kwanza Barrick wanakuja kusaini mikataba mipya yenye manufaa kwa watanzania wote.

Kila wakisingizia serikali ya Magufuli ina fanya mauaji ndiyo kwanza Saed Kubenea anawaumbua kwenye magazeti yake kwamba Ben Saanane anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa mitaa ya UFIPA.View attachment 1344165View attachment 1344166

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekuwa ni kawaida ya chadema kuungana na mabeberu na kuanza kuombea mabaya nchi yetu. Pamoja na maombezi yao hayo bado laana ipo upande wa chadema tangu kutoka rais Magufuli aingie madarakani miaka minne iliyopita.

Kila wakiombea uchumi ushuke ndiyo kwanza unapanda.

Kila wakiombea tushitakiwe MIGA ndiyo kwanza Barrick wanakuja kusaini mikataba mipya yenye manufaa kwa watanzania wote.

Kila wakisingizia serikali ya Magufuli ina fanya mauaji ndiyo kwanza Saed Kubenea anawaumbua kwenye magazeti yake kwamba Ben Saanane anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa mitaa ya UFIPA.View attachment 1344165View attachment 1344166

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nirifikili ishu imeandikwa kwenye magazeti ya nation,mwananchi,Ipp,au washington post,kumbe ni hizi toilet paper,kweli huna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom