MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

Alichofanya KANGI LUGOLA wa chama Cha CCM kufanya ufisadi na wizi kupitia mikataba feki ni ushahidi tosha kwamba CCM wanafurahia matendo hayo ya kishetani
 
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitaendelea kutumika kama ushahidi siku zote ,na kama mna mabavu mmfukuze Saed Kubenea chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi wa kuchaguliwa na watu kwa kumbe kura tena karne ya 21 kisha HSKUBALI KUSHAURIWA? WAZIMU HUO. huyo hafai hata kama anajenga mabarabara ya ajabu. Tunahitaji KIONGOZI sio Mtawala.tulishatawaliwa na wakoloni sasa ni wakati wa kuongozwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakata viuno sana
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jukumu walilopewa la vitambulisho limewashinda sasa kumbe wako bize kukata viuno.
 
Sijaelewa kitu. Unataka kuongea nini katika hii ishu ya Bashite kupigwa ban?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nirifikili ishu imeandikwa kwenye magazeti ya nation,mwananchi,Ipp,au washington post,kumbe ni hizi toilet paper,kweli huna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…