GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
Ila CDM ni balaa 😂Ni ya urithi ,ukwe na ushemeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila CDM ni balaa 😂Ni ya urithi ,ukwe na ushemeji
HahahaaYawezekana huu ndiyo ukawa uchaguzi ndani ya CCM wenye kuleta mabadiriko makubwa hadi kwenye uchaguzi mkuu.
So tukae kwa kutulia, nafaham wengi wetu hadi CCM kindakindaki kwa nje tunashangilia na kusema 5tena hadi 2030 ila kwenye uhalisia in your mind unasema bora atoke tu!.
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.
Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume
View attachment 3139480
Hakuna watu wanaogopa madaraka ya rais kama wanaccm. Wote salama yao ni mbeleko ya vyombo vya dola kupitia madaraka ya rais. Hakuna mwanaccm anathubutu kushindana nje ya ccm, kwani huko ndio kuna mbeleko ya vyombo vya dola.
Kwani hao wazee ni kina nani? Au kina MwamposaKiukweli ile kauli ya Uwashike Wazee nilitafakari sana nikatafuta reference hadi kwenye Biblia
Kwani hao wazee ni kina nani? Au kina Mwamposa
Hawana lolote zaidi ya kuwa machawa ili watoto wao wapate teuzi.CCM huijui ww nn? Wazee huwajui, jiongeze uwataje mwenyewe
Na yalimkuta maana rais wa Tanzania yuko juu ya katiba na sheria.Sahihi....Membe tu ndio alijaribu mbele ya dakitata
Kwa katiba ipi?Sumu haijaribiwi kwa kulambwa
Unaandika yaliyo moyoni au umeropoka tu?Hayupo wa kushindana na mama,I wish her all the best
Hawana lolote zaidi ya kuwa machawa ili watoto wao wapate teuzi.
Usiwasikiliza hawana nguvu yoyote.
Kutoka moyoniUnaandika yaliyo moyoni au umeropoka tu?
Ukiona shoo anampigia debe mama ujue ni kwa sababu anajua kiitikadi mama ni mfuasi wa mlengo wa ubinafsi. Watu wenye tamaa ya mali bila kujali maslahi ya umma.Ile Kauli ya Askofu Dr Shoo iliyokanushwa na Askofu Dr Bagonza itaibua Siri nyingi Sana
Ushindani uanze ndani ya chama. Zitolewe fomu hata mia chama kipate mapato😂, kisha mama awagaragaze wooteeee.CHADEMA mnahangaika sana na kuteseka kama wagonjwa .Mnamuogopa Sana Rais Samia maana mnajuwa kuwa hamna ubavu wala uwezo wa kushindana naye katika sanduku la kura hapo mwakani.
Fomu ya Urais ndani ya CCM ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3139486
Mkuu briefing,Baba Askofu alisemaje kwani ?Ile Kauli ya Askofu Dr Shoo iliyokanushwa na Askofu Dr Bagonza itaibua Siri nyingi Sana
Mlale Unono 😀
Mkuu umekata tamaa kabisa na nchi Yako tukufuSawa na sisi tuna Jemedari Saidi.😂
📌Labda mambo yawe mabaya sana kati ya sasa na hapo baadae.
Mkuu umekata tamaa kabisa na nchi Yako tukufu