Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna watu wanaogopa madaraka ya rais kama wanaccm. Wote salama yao ni mbeleko ya vyombo vya dola kupitia madaraka ya rais. Hakuna mwanaccm anathubutu kushindana nje ya ccm, kwani huko ndio kuna mbeleko ya vyombo vya dola.
Kwa sababu yote majizi sasa yanajua ukijifanya much know nao wanafungua faili lako na kuweka hadharani habari zako hata za chumbani.
Si ulimsikia yule ofisa wa serikali aliyesema wanahamisha watumishi wenye mahusiano ya jinsia moja ambao wengi ni wa viongozi?
 
Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume
Hawa wazee kijana Abdul hawawezi kumsikiliza. Hao watakuwa wazee wa aina gani hao? Bila shaka watakuwa wamedondoshwa toka sayari nyingine, siyo wa hapa hapa Tanganyika.
 
Ushindani gani unaongelea ww, huu wa tume ya uchaguzi iliyojaza makada wa ccm? Ni bonge la upuuzi kuongelea ccm kushinda uchaguzi kwa mazingira haya.
Mkuu unahangaika na huyo PAKA wa Lumumba bure. Tangu 2010, CCM hajawahi kushinda uchaguzi kihalali. Uchaguzi wa mwisho kushinda kihalali ilikuwa 2005.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.

Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume

Sio gazeti Wala Makonda wanaweza kuwataja.

Mpaka hapo ni uzushi na kiki ya kuuzia gazeti na mbinu ya Makonda kupata attention,hakuna mwenye jeuri hiyo
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.

Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume

Wajitokeze tu, kawaida sana hiyo CCM.

Hakuna jipya hapo. Kubenea anawajuwa watatu tu? binafsi nina majina kumi na tano.
 
Vyama vyote Tanzania hili hawalitaki ila ngoja niongelee vyama hivi viwili kwanza. CCM, hawa katiba haikatazi ila wamejiwekea tamaduni tu ndani ya chama na ukithubutu ku challenge hilo basi jiandae kweli maana unaweza ukawa ndio mwisho wako kisiasa mnakumbuka yule aliyechukuwa form wakati wa Kikwete? japo CCM tamaduni hizi ni awamu 2 tu miaka kumi mwenyekiti mpya anakuja.

Chadema, hawa ukitia nia yakutaka kum challenge mwenyekiti chamoto utakiona utahama mwenyewe na utaanzisha chama chako yalimkuta Zitto. Hawa hatujui ni tamaduni au katiba ila ukijitosa tu ujue ndio mwisho wako umefika.

TFF, huko ukitaka tu basi utaletewe zengwe la kesi na utafungiwa maisha kushiriki kwenye soka...
 
Back
Top Bottom