Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiukweli ile kauli ya Uwashike Wazee nilitafakari sana nikatafuta reference hadi kwenye Biblia, but Mama yetu tuko nae sana tu
Nguvu ya Mamba kumayi !
Hakuna cha Wazee wala nini !
Incumbent na system yake wakiwa Smart hakuna wa kukohoa !
 
Ningependa nisikie huyo uliye mjibu akikueleza kuna ubaya gani katika haya uliyo yaelezea hapa.
Kitu kinaweza kuwa hakina ubaya wowote kama kikifanyika lakini kwa kuwa hakiwezekani kufanyika basi itabaki kuwa Hivyo 🙌👍
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.

Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume

Hii habari itakuwa ni muendelezo tuu wa habari uongo na uzushi wa Kube na gazeti lake la Mwanahalisi kama ule uzushi wa kumhusu Ben Saanane!.
Hakuna mwana CCM mwenye akili timamu, anaweza kuuwazia urais wa 2025 kwasababu kwa mujibu wa utaratibu wa ki CCM, uchaguzi wa 2025 ni uchaguzi wa mserereko, inachapishwa fomu moja tuu ya urais kwa ajili ya rais aliyepo madarakani!.

Hivyo mwana CCM yeyote anayeuwazia urais wa 2025, huyo atakuwa sii mzima!, uless kama sauti HII ni ya kweli!.

P
 
Huna adabu kabisa na una akili ndogo sana wewe.umejaa ukabila ,ukanda na chuki binafsi muda wote.
Sasa kama Samia uwezo wake ni mdogo sambamba na IQ yake kuwa chini ya wastani, watu wakisema hivyo kwanini iwe ni kukosa adabu..?

Wewe maoni na mtazamo wako kwa huyu mama ni kuwa "ANATOSHA" , au siyo? Je kuna mtu kakutukana na kukuona huna adabu...?

Basi kama wewe una maoni na mtazamo huo, upande wa pili tupo wengine mamilioni tunayemwona "HATOSHI KABISA" na ame - prove kuwa hatoshi chini ya u-Rais wake wa mpito wa 2021 - 2025....!

Zaidi sana ni kuwa:

MOSI; Huyu mama si raia wa Tanganyika. Ni Raia wa nchi nyingine inayoitwa Zanzibar. Hatuwezi kurudia kosa hili la kuruhusu nchi yetu ya Tanganyika kuongozwa na raia wa nchi nyingine ya kigeni...!!!

PILI; Huyu ni mwanamke. Nchi ya Tanganyika haipo, haikuwa tayari kuongozwa na mwanamke ktk uongozi wa juu wa nchi ktk level ya u- Rais....

Kwa hiyo, whether you like it or not, huyu alikuwa ni Rais wa mpito tu. Hana uwezo na IQ yake ni ndogo isiyoweza kutoa uongozi thabiti wa nchi yetu...

SHE HAS TO GO, SHE MUST FORCED TO GO...
 
Hii habari itakuwa ni muendelezo tuu wa habari uongo na uzushi wa Kube na gazeti lake la Mwanahalisi kama ule uzushi wa kumhusu Ben Saanane!.
Hakuna mwana CCM mwenye akili timamu, anaweza kuuwazia urais wa 2025 kwasababu kwa mujibu wa utaratibu wa ki CCM, uchaguzi wa 2025 ni uchaguzi wa mserereko, inachapishwa fomu moja tuu ya urais kwa ajili ya rais aliyepo madarakani!.

Hivyo mwana CCM yeyote anayeuwazia urais wa 2025, huyo atakuwa sii mzima!, uless kama sauti HII ni ya kweli!.

P
Mzee Pascal Mayalla, kila "taboo" huwa inafikia ukomo wake nyakati na majira yake yanapowadia...

Kwa kipindi cha miezi 12 ijayo, utashuhudia "taboos" nyingi zikifikia ukomo wake na kubatilishwa. Mojawapo ni hii ya "U - Rais wa mserereko."

Zipo factors na indicators za kutosha na zinazojitosheleza kwa zaidi ya 100% kuwa huyu mama alikuwa ni RAIS WA MPITO tu na mwisho wake ni miezi michache ijayo;

MOSI; Mzanzibari hawezi kuwa Rais wa Tanganyika tena. Hali ilivyo sasa kwa Tanganyika kuongozwa na raia wa kigeni toka nchi ya Zanzibar inaudhi na kumkera kila Mtanganyika bila kujali itikadi ya kisiasa tulizonazo. Tusiambiane habari za muungano huu wa kinadharia kati ya Tanganyika na Zanzibar. Hii ni nadharia ya hovyo iliyokwisha kupitwa na wakati na inayopaswa kuondoka na kupotelea mbali huko pamoja na waasisi wake wazee wa kizazi cha Hayati Julius K. Nyerere...!

Ni afadhali mara milioni moja tuwe na Rais Mtanganyika wa sampuli ya John Pombe Magufuli (lakini Mtanganyika) kuliko ujinga na uhayawani wa kukubali kutawaliwa na Rais wa nchi ya kigeni...!!

PILI; Ukiachilia mbali u - Zanzibari wake, huyu binadamu ni mwanamke. Itoshe tu kusema kwa ufupi sana kuwa, nchi hii ya Tanganyika si kama Marekani (USA) yenye mifumo thabiti ya udhibiti (i.e CHECKS & BALANCE) yenye full mandatory authority ya kufuatilia na kudhibiti tabia na mienendo ya ma - Rais wanapokuwa ktk ofisi kuu ya nchi....

Chini ya mfumo huu thabiti wa CHECKS & BALANCE wa USA, ipo possibility ya karibu 50% ya mwanamke kuwa Rais na akaongoza kwa mafanikio. Na bila shaka Kamala Harris wa chama cha Democrats anaweza kumshinda Donald Trump wa Republican mapema wiki ijayo na kuwa Rais mwanamke wa kwanza USA...

Hapa Bongo - Tanganyika, bado wakati huo haujafika kuruhusu hili. Lilifanyika kosa huyu akapenya na kujikuta tu hapo. Haipaswi kuliendeleza kosa hili wakati fursa ya kurekebisha imepatikana...

Na for sure kabisa, kwa miaka hii minne tumethibisha pasipo shaka kuwa, nchi hii haiwezi kuwa chini ya uongozi wa mwanamke kwa sababu za kiasili (natural reasons) na zile za udhaifu wa mifumo yetu ya kisheria na kikatiba inayoruhusu hooligans kutumia udhaifu wa asili (natural weakness) wa mwanamke kuingilia maamuzi ya nchi kwa maslahi binafsi ya majambazi haya. Na ndiyo maana kama nchi tuko hivi tulivyo leo..!

TATU; Huyu Rais mwanamke ni mwana - CCM. Na ishara ziko wazi sana kuwa, mwisho wa CCM umekwishakufika na mwisho huu utahitimishwa kwa mikono ya wana CCM wenyewe kama ambavyo KANU ya Kenya ilivyojimaliza yenyewe. Ishara ziko wazi mno kwa waonaji na watambuzi wa mambo...

KWA HIYO; hawa wanaoijiandaa kuvunja "taboo" ya hiki ulichokiita "u - Rais wa mserereko", eleweni kuwa ni sehemu ya utimilifu wa mwisho na amini usiamini ITAKUWA HIVYO....!!!
 
Najuwa ila nimesema hizi taasisi zote hakuna wa kumyoshea kidole mwenzake japo CCM wana nafuu wao wamesema wazi sisi hizi ni tamaduni zetu kumpa mwenyekiti nafasi mara 2 akimaliza basi lakini wengine huko hakuna tamaduni wala limit
Tamaduni ni ujinga usiokuwemo ndani ya Katiba, bado unataka leo tuendelee kuabudu Tamaduni?
 
Mzee Pascal Mayalla, kila "taboo" huwa inafikia ukomo wake nyakati na majira yake yanapowadia...

Kwa kipindi cha miezi 12 ijayo, utashuhudia "taboos" nyingi zikifikia ukomo wake na kubatilishwa. Mojawapo ni hii ya "U - Rais wa mserereko."

Zipo factors na indicators za kutosha na zinazojitosheleza kwa zaidi ya 100% kuwa huyu mama alikuwa ni RAIS WA MPITO tu na mwisho wake ni miezi michache ijayo;

MOSI; Mzanzibari hawezi kuwa Rais wa Tanganyika tena. Hali ilivyo sasa kwa Tanganyika kuongozwa na raia wa kigeni toka nchi ya Zanzibar inaudhi na kumkera kila Mtanganyika bila kujali itikadi ya kisiasa tulizonazo. Tusiambiane habari za muungano huu wa kinadharia kati ya Tanganyika na Zanzibar. Hii ni nadharia ya hovyo iliyokwisha kupitwa na wakati na inayopaswa kuondoka na kupotelea mbali huko pamoja na waasisi wake wazee wa kizazi cha Hayati Julius K. Nyerere...!

Ni afadhali mara milioni moja tuwe na Rais Mtanganyika wa sampuli ya John Pombe Magufuli (lakini Mtanganyika) kuliko ujinga na uhayawani wa kukubali kutawaliwa na Rais wa nchi ya kigeni...!!

PILI; Ukiachilia mbali u - Zanzibari wake, huyu binadamu ni mwanamke. Itoshe tu kusema kwa ufupi sana kuwa, nchi hii ya Tanganyika si kama Marekani (USA) yenye mifumo thabiti ya udhibiti (i.e CHECKS & BALANCE) yenye full mandatory authority ya kufuatilia na kudhibiti tabia na mienendo ya ma - Rais wanapokuwa ktk ofisi kuu ya nchi....

Chini ya mfumo huu thabiti wa CHECKS & BALANCE wa USA, ipo possibility ya karibu 50% ya mwanamke kuwa Rais na akaongoza kwa mafanikio. Na bila shaka Kamala Harris wa chama cha Democrats anaweza kumshinda Donald Trump wa Republican mapema wiki ijayo na kuwa Rais mwanamke wa kwanza USA...

Hapa Bongo - Tanganyika, bado wakati huo haujafika kuruhusu hili. Lilifanyika kosa huyu akapenya na kujikuta tu hapo. Haipaswi kuliendeleza kosa hili wakati fursa ya kurekebisha imepatikana...

Na for sure kabisa, kwa miaka hii minne tumethibisha pasipo shaka kuwa, nchi hii haiwezi kuwa chini ya uongozi wa mwanamke kwa sababu za kiasili (natural reasons) na zile za udhaifu wa mifumo yetu ya kisheria na kikatiba inayoruhusu hooligans kutumia udhaifu wa asili (natural weakness) wa mwanamke kuingilia maamuzi ya nchi kwa maslahi binafsi ya majambazi haya. Na ndiyo maana kama nchi tuko hivi tulivyo leo..!

TATU; Huyu Rais mwanamke ni mwana - CCM. Na ishara ziko wazi sana kuwa, mwisho wa CCM umekwishakufika na mwisho huu utahitimishwa kwa mikono ya wana CCM wenyewe kama ambavyo KANU ya Kenya ilivyojimaliza yenyewe. Ishara ziko wazi mno kwa waonaji na watambuzi wa mambo...

KWA HIYO; hawa wanaoijiandaa kuvunja "taboo" ya hiki ulichokiita "u - Rais wa mserereko", eleweni kuwa ni sehemu ya utimilifu wa mwisho na amini usiamini ITAKUWA HIVYO....!!!
Aiseeeeeee!!!
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.

Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume

Porojo tu. Hakuna kitu kma hicho. Mhe. Rais Samia hana wa kushindana naye.🙏🙏🙏
 
Tamaduni ni ujinga usiokuwemo ndani ya Katiba, bado unataka leo tuendelee kuabudu Tamaduni?
Shida tunadhani katiba ni kama kitabu cha dini, katiba unaweza kuibadili tu kutimiza malengo yako wala sio shida na wala haina maana kila kilicho kwenye katiba ndio bora kuna mambo nje ya katiba na ni bora. Family zetu hatukuandika katiba ila tamaduni za kifamilia ndio zinashikilia umoja na matendo yetu.
 
CHADEMA mnahangaika sana na kuteseka kama wagonjwa .Mnamuogopa Sana Rais Samia maana mnajuwa kuwa hamna ubavu wala uwezo wa kushindana naye katika sanduku la kura hapo mwakani.

Fomu ya Urais ndani ya CCM ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3139486
Kwa nini mtoe form moja? Wengine hawana haki ya kugombea?
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba huko ccm maji yamekorogeka, Tayari Wagombea wa Urais 2025 wameanza kujitokeza.

Habari zaidi zinadokeza kwamba Uwashike Wazee au usiwashike hakutakuwa na Mswalie Mtume

Tangu tumepata uhuru maraisi wote wanahudumu misimu miwili. Na hivyo ndo ilivyo.., nyie jidanganyeni tu.
Hivi kwa utulivu na usalama huu wa nchi na namna Tanzania inavyopaa kimataifa takriban ktk kila Nyanza mnadhani ni rahisi kumtoa Mama Samia pale??? Subutuuu
 
Back
Top Bottom