Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na wengine wanasema ni wakoloni, wajarumani, waarabu, sultani waliotufikisha hapa
 

Uko sahihi kabisa, huwezi kuikimbia Serikali yeyote ya Africa na kwenda kujificha Nairobi.
Nairobi haiwezi kuwa safe maana gangs lolote linaweza kupewa kazi na kumalizana na wewe.
 
And we must tell whoever is behind Maria's abduction and disappearance that no amount of terror and violence or intimidation will silence us. That many many more Marias will step forward to take up her fight for democracy and decency in Tanzania.
Eehh!!
😷😷😷😷😷
 
Yule Mwingine nae wanadai yuko hapohapo...
Nasikitika...
 
Mwamba kaanza kazi yake
 
Awamu ya tano jibu rahisi ilikuwa ni kumlaumu Magu. Sasa hivi je? Tulio naye sasa hivi ni kama mtoto wa Pol Pot na Bibie Kirchner, wazuri usoni lakini rohoni ni wabaya sana.

Huyu dada Mungu amponye amrudishe.

Wanaharakati waache kuipambania Africa,hii sio miaka ya 1950s na 60s ambapo waAfrika walikuwa na azimio moja. sisi ni jamii ya watu wapumbavu wengi kuliko werevu. Huku watu wameridhika na dhiki na ni wabinafsi. Harakati zitaumiza zaidi wanafamilia na hazitafika popote.

Alafu hii kauli ya kipumbavu ya kusema watajitokeza kina Maria wengine, ni ushenzi. Wazazi wake watampata Maria mwingine?. Pumbafff kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…