Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maria Sarungi ana msimamo gani, yupo upande wa Mbowe au Lissu na msimamo wake kuhusu uchaguzi wa CHADEMA unaweza kuhusishwa vipi na utekwaji wake kule Nairobi?
 
Duuh Jina la mshua limemlinda nini? Labda jamaa target yao informers ,kweli waanze kukimbia na wao maana hawako salama.
Maria si rahisi kuguswa ni kama Fatma Karume, majina ya wazazi yanawapa kinga...

Shida ni kwa wamatumbi wengine ambao hawana kinga wakiingia kwenye 18 huwa wanaipata vilivyo...

Naona yuko na machozi ya karibu sana ama wanaume wamefanikiwa kufanya yao...
 
Hawa wanaweza wanaweza wakampiga mtungo,wakamrekodi
Wakamwqmbia sasa tunakuachia ila ukirudia tena video zako tutaziachia

Ova
Hiyo hawawezi, huyo si type za kuogopa kusema kuwa amebakwa. Mpaka kufikia alipo she has been through a lot of shit, hiyo kwanza ndiyo itamuweka kwenye global spotlight as mbayo atafanya interviews hadi katika media kubwa duniani.
Hauoni wanawake wajanja wa Kitutsi waliobakwa kwenye genocide walifanya interviews mpaka kwa Oprah Winfrey, hiyo ni sawa na kumpiga chura teke.
 
Maria si rahisi kuguswa ni kama Fatma Karume, majina ya wazazi yanawapa kinga...

Shida ni kwa wamatumbi wengine ambao hawana kinga wakiingia kwenye 18 huwa wanaipata vilivyo...

Naona yuko na machozi ya karibu sana ama wanaume wamefanikiwa kufanya yao...

Kweli maana ukiwapoteza watoto wa wakubwa -baba zao matycoon huwa wanapewa taarifa kwasababu wazazi wao pia ni part ya inner circles so kweupe itajulikana nani aliofanya umafia.

Mmatumbi ukidakwa ndiyo ntoleee ,SATIVA/Magoti inabidi wabaki ubelgiji/UK huko huko.
 
So, mim nauliza tu
kwamba mropokaji na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anajaribu kuripoti kwa wanaombackup huko ulaya kwamba, ni magufuli au samai ndie walio mteka huyu muingiliaji na mvurugaji wa famili za watu kwa maslahi yake binafsi kwa mgongo wa kutetea haki za binadamu? au ni kujaribu kutafuta huruma ambazo hazina maana yoyote? :pulpTRAVOLTA:
Sasa wee kibaraka wa watekaji mbona unafurahia madhila ya watu wasio na hatia?

Ila inasemekana tayari amepatikana akiwa salama. Kenya siyo Tanzania,..

View: https://x.com/KatibaMpya7/status/1878492666813436406?t=YLjnZejesWxze99GIjrG5g&s=19
 
Kikawaida kwa ulinzi ulivyo TZ ni ngumu mtu kutekwa na kukimbia kwenye gari unless taarifa ichelewe kutoka.

Ukiona mtu ametekwa na watekaji hawajakamtwa means ni WAO WENYEWE.
 
Kama hapa Tanzania tu wanasema hawahusiki, sembuse imetokea Kenya...!?

Kwa heri Maria...!
 
ANAANDIKA Mh LISSU

Maria Sarungi-Tsehai, one of Tanzania's foremost and fearless critics of the Samia regime and a dearest friend has been snatched by three unidentified gunmen in the vicinity of Yaya Centre in the Kenyan capital of Nairobi.

A strident opponent of the Magufuli dictatorship, Maria had fled to exile in Kenya since just before the fraudulent 2020 general elections and had been running Chanzo TV, a pro-democracy online platform.

While we hope and pray for Maria's life and safety, we must call upon the Kenyan government and all people of goodwill from around the world to intervene in whatever capacity they can to help secure Maria's safe return to her family.

And we must tell whoever is behind Maria's abduction and disappearance that no amount of terror and violence or intimidation will silence us. That many many more Marias will step forward to take up her fight for democracy and decency in Tanzania.
TAL ana english iliyonyooka mno. Anyway, Naombea Maria apatikane akiwa mzima.
 
Panawaka...

.....Edit....

Kwa aina ya activism anazoendesha Maria, global and local politics...
Kenya isn't and wasn't the right choice to be...

Natumai apatikane akiwa hai, lakini aachane na Nairobi kabisa

Nairobi wanatekwa watu wengi sana na haijulikani wimbi hili litaisha lini.

Mengi yatahusisha serikali lakini hatuwezi jua Nairobi kuna hooligans wengi wa kutosha..


Edit...

Tunajulishwa na Fatma Karume kwamba amepatikana salama na yupo nyumbani kwake...🙏
Correct phrase; watekaji NI hooligans, na hivyo hawawezi KUWA WATU WA system ZA NCHI. WATU WA system hawawezi kumteka mtu kama Abdul Nondo
 
Back
Top Bottom